uchaguzi (demokrasia) gharama kama ilivyo elimu, hivyo ukiogopa gharama jaribu utawala wa (Gaddafi) au ujinga.Siku zote ashindwae lazima awe na sababu anazoziona yeye kuwa ndizo zilizopelekea ashindwe mfano taarifa ya Mtatiro wa cuf aliyoitoa hapa JF usiku wa jana. Hivyo sioni cha ajabu mtu kulalamikia utaratibu wa uchaguzi maana kulalama nayo ni haki ya msingi hila tu usivunje sheria ktk kulalama kwako. Cha kujiuliza je tume yetu ya uchaguzi ni tume uhuru? je mchakato mzima wa uchaguzi hupo huru na hauruhusu uchakachuaji au kupendelea upande mmoja? Kama vile UNIP ya Kaunda ilivyogeuka chama cha upinzani ilipong'olewa na MMD ya marehemu Chiluba vilevile MMD iya Banda ilivyogeuka chama cha upinzani ilipong'olewa na PF ya SATA sitoshangaa CCM nayo ikaja kuwa chama cha upinzani. Siku hiyo ikifika wasije anza kelele kama za mzee Kaunda alivyokuwa analalamikia sheria kandamizi na mfumo mbaya wa uchaguzi chini ya utawala wa MMD lakini akawa amesahau kuwa yeye ndiye muhasisi wa sheria hizo. Sasa siku hikifika tusije waona wanao muona leo Mbowe anabwabwaja kama amechanganyikiwa kwa taratibu mbovu za uchzguzi wao wakachanganyikiwa kabisa maana hata marehemu SADAAM HUSEIN aliona bora awe Rais wa IRAQ akiwa shimoni kuliko kuachia madarakambowe na kelele za mfa maji, nimemsikia anabwabwaja kama mtu aliyechanganyikiwa, wamepoteza pesa nyingi na jimbo wamelikosa.
Sasa kama hapingi matokeo mahakamani anaenda fanya nini,je mahakama ndo inateua tume ya uchaguzi?sijaelewa kidogo hapo.
Sasa kama hapingi matokeo mahakamani anaenda fanya nini,je mahakama ndo inateua tume ya uchaguzi?sijaelewa kidogo hapo.
mbowe na kelele za mfa maji, nimemsikia anabwabwaja kama mtu aliyechanganyikiwa, wamepoteza pesa nyingi na jimbo wamelikosa.
Ya Mbowe tuliyatarajia, sasa mfa maji jamani si lazima atapetape. Asiyekubali kushindwa si mshindani.
Hivi badala ya kusema tunarudi kufanya kazi kuelekea uchaguzi mpya, yeye anasema anakwenda mahakamani? ananshagaza sana.
Mbowe na kelele za mfamaji, nimemsikia anabwabwaja kama mtu aliyechanganyikiwa, wamepoteza pesa nyingi na jimbo wamelikosa.
mbowe na kelele za mfa maji, nimemsikia anabwabwaja kama mtu aliyechanganyikiwa, wamepoteza pesa nyingi na jimbo wamelikosa.
Mapu', lengo la kwenda mahakamani sio tuu kuililia Igunga ambapo Chadema imepokwa ushindi wa haki, bali mahakama ihakikishe haki inatendeka katika chaguzi nyingine zijazo.
Mbowe amesema, Chadema itakwenda mahakamani sio kwa lengo la kutaka matokeo ya Igunga yabatilishwe, bali inakwenda mahakamani ili mahakama kama chumbo huru, kihakikishe haki inatendeka kwa kuimuru Tume ya Uchaguzi itende haki na kupress kupatikana kwa Tume huru ya uchaguzi ili kuweka presedence kwa chaguzi nyingine zitakazofuatia
Mbowe yuko njema,hana njaa kama mwenyekiti wenu anayeuza nchi kwa kupewa suti.
Wakususa wameanza, nilisema mimi waliosusa kusaini ni magwanda na si CCM Mheshimiwa Mbowe makhakhi anadhihirisha hilo.
mahakama zinapobatilisha matokeo ya kura baada ya mshindi kutangazwa na tume, unaelewaje shangazi?Hapo kwenye red pananichanganya kidogo... Kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977, ibara ya 74, ibara ndogo za 11 na 12 zinasema; Nanukuu
"(11) Katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, Tume ya Uchaguzi haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali, au maoni ya chama chochote cha siasa.
(12) Hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza jambo lolote lililotendwa na Tume ya Uchaguzi katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii."
Sasa sijui mheshmiwa Mbowe alikua akimaanisha nini exactly. Pengine panahitaji ufafanuzi zaidi hapo,
otherwise naona kama story ya mgombea binafsi itajirudia kwa jopo la majaji kutupia mpira lirudi bungeni.
mbowe na kelele za mfa maji, nimemsikia anabwabwaja kama mtu aliyechanganyikiwa, wamepoteza pesa nyingi na jimbo wamelikosa.
Hoja zinazozungumzwa kwa akili yako inayotosha kwenye glass ya maji huwezi kuelewa. Ni bora ukae kimya kuliko kuendelea kuonyesha kiwango finyu cha uelewa wako.Ya Mbowe tuliyatarajia, sasa mfa maji jamani si lazima atapetape. Asiyekubali kushindwa si mshindani.
Hivi badala ya kusema tunarudi kufanya kazi kuelekea uchaguzi mpya, yeye anasema anakwenda mahakamani? ananshagaza sana.