U-makamu m/kiti majina yaliyopendekezwa ni:
1. Mboni Mhita
2. Salum Hapi
3. Paul Makonda
Anthony Mavunde kakatwa! Updates zitafuatia
Huko kwenye mkutano mnagawiwa Valuuu? Umeripoti nini sasa?
U-makamu m/kiti majina yaliyopendekezwa ni:
1. Mboni Mhita
2. Salum Hapi
3. Paul Makonda
Anthony Mavunde kakatwa! Updates zitafuatia
Safi sana (kama ni kweli)...............Mavunde amevuna alichokipanda
Mahela yote aliyogawa na kuahidiwa yameishia baharini......lol!
MIRIJA IKATWE,
Kati ya waliopita Hakuna hata mmoja mwenye uzoefu ktk Jumuiya; ni wazi UVCCM inachimbiwa kaburi.
MIRIJA IKATWE,
Kati ya waliopita Hakuna hata mmoja mwenye uzoefu ktk Jumuiya; ni wazi UVCCM inachimbiwa kaburi.
Mwita,
Hii ni kutoka kamati ya maadili, lkn hata Mwananchi nadhani walikuwa na taarifa za kamati hii.
CC bado haijayapitia
kashesheU-makamu m/kiti majina yaliyopendekezwa ni:
1. Mboni Mhita
2. Salum Hapi
3. Paul Makonda
Anthony Mavunde kakatwa! Updates zitafuatia
MIRIJA IKATWE,
Kati ya waliopita Hakuna hata mmoja mwenye uzoefu ktk Jumuiya; ni wazi UVCCM inachimbiwa kaburi.