MIRIJA IKATWE,
Kati ya waliopita Hakuna hata mmoja mwenye uzoefu ktk Jumuiya; ni wazi UVCCM inachimbiwa kaburi.
Hivi hizi chaguzi za CCM zina umuhimu gani hasa hadi ziwe zinapewa kipaumbele na uzito kiasi hicho? Naomba ufafanuzi tafadhali kwa anayeelewa.