Wote si omba omba? Basi watakuwa sawa japo matonya atkuwa juu zaidi!
Jamani naombeni mpige kura ya maoni, Arusha Mjini uchaguzi mdogo wa ubunge kama JK angeruhusiwa na katiba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM na Matonya wa Dodoma agombee kwa tiketi ya Chadema nani ungempigia kura yako?