abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
<br />Mnagombana bure, magwanda hatavaa, igunga mshindi atakuwa wa ccm hata angegombea slaa na mbowe. Hakuna uwezekano wa ccm kupoteza jimbo hili na jibu ndio hilo. 2+2 ni 4 hakuna haja ya kusubiri mtihani usahihishwe ndio ujue jibu ni 4, it is an obvious thing, hamkumwelewa msemaji alikuwa anaonesha impossibilities.chadema kuna mazezeta kweli hawajui nahau ndio maana mpaka leo kuvua gamba kumekuwa mtaji
<br />
Nikweli watu wa CDM hawakumuelewa mtoa hoja wala wewe ukumueldwa mtoa hoja, pengine hata mm sijawaelewa wote, Lakini ni kweli tulishindwa kumuelewa ROSTAM AZIZ mjenzi wa igunga pamoja na magamba yake lkn alikua anaonekana mifupa mitupu kule Igunga hata ngozi akua nayo?
Sasa ameondoka tena akasema maneno magumu sana yaliyowaelekea watoa magamba,wananchi wa sasa hawana chama wana mtu, kama hivyo ndivyo wa Igunga wamemkosa Rostam aliyetoswa na CCM, hata mm nikienda kugombea naweza chukua, usibishe ila subiri matokea,