John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
<br /><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">We nani kwanza tukujue. Pili kuvaa gwanda ni swala la maamuzi yako mwenyewe halihusiani na CDM waweza vaa gwanda la mgambo, gwanda la polisi, gwanda la mjeda au hata gwanda la mfungwa. Vaa tu gwanda ndugu. CDM hatutaki shobo. CDM hatufanyi kampeni ili kushinda uchaguzi na kufurahisha watu, ila CDM nia kubwa ni kuleta ukombozi kwa watanzania.</span></font>
<br />
Wasanii tu nyie na magwanda yenu kampuni ya Edwin Mtei ndio ikomboe Watanzania? CDM ni kampuni ya Mtei