Elections 2010 Uchaguzi 2010: Kibonde usijifanye kujua kila kitu, tafuta wataalamu wakusaidie

Kibonde anasoma alama za nyakati...Mosi ni mtangazaji anayeongoza katika matangazo ya biashara TV na Radio ya hapa Tanzania... ZAIN,YUASA,ENTERTAINMENT...Pili karibu hafla zooote za serikali yupo kama MSHEHERESHAJI... Mungu ampe nini? Gunia la CHAWA! wacha abwabwaje ila mwisho wa siku mkono kinywani...
he Following User Says Thank You to Tusker Bariiiidi For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
i love jaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaz i alv kibonde bt i hate the way thy tryng to potray CCM by using inner inner language ........smtmes kibonde kama anakuwa rational ivi bt smtmes mmmh ukimsoma kwa kina akiwa na shemeji gadna mambo yanakuwa kama wana pigia debe ccm iv......walokosea kidgo sana juz bt mara nyingi wanafanyaga poa ....ni wana harakati kwa kiasi fulani lakin kwa sababu bos wao ni MWANACHAMA HAI WA CCM na madili mengi anatupiwa pale kati from kwa wale wavimba matumbo so inabidi tu waelekeze maneno zao kwa pande iyo........!!!!!!!1
gadna arudi likizo jaman tumemmisi yule kijana aliyekaa sasa pale wala hajui lolote yan kama pea basi kibonde na gadna wana lugha zao na wanapeana chat kwa kujifanya km uyu ajui vile ili uyu mwnhne aje juu na aelezee vizuri lakin uyu kijana wa sasa ivi anajifanya anajuuuuuuuaaaaa kumbe mmh sjui niaje jahazi limepwaya gadna rudi mwaya kibonde ana akusubiri ,...........mara nyingi wanabishana bila kujua km wapo upande mmoja ni yule kijana ajui principle ya kuwa dwn ili mwngine asememyeye anakuwa juu tu anapenda kuongea kwa kile kiswahili chake cha kifotokop yan anasema kwa calculator haipendez...try to b natural.......babra nayeye mmh AKAJIFUNZE KISWAHILI sjui ni usista doo mandondo ama ninini wenzake wanajaribu kumshushuaga ili aongee fresh akina pj na gerald bt dahhh kiswahili chake kibaya kwa kujifanya kazaliwa new york na kukulia paris............dada ongea kiswahili kizuri iyo lafudhi ya kijerumani haiitajiki iyo ni media udada duu peleka uko steers ukiwa unakula baga ndo tupia swaga izo!!!!!
nawapenda dina,gea suzi sjui kaenda wap wa leo tena its social program n t helpng alot na wana ubunifu wa hali ya juu yan its natuaral ,xxl pia mzuka tele maubunifu na swaga zao za ukweli due to participants n customers intended....!!!!!!!
babra na wewe aaron sjui nani wa jahazi skuizi mjirekebshe kuweni nyiny!
nawapenda ndo mana nimewaambia ukweli.......!!!!!!!!!!!!
kile kipindi cha jicho letu ni cha ukweli THE GUY IS DOING THE NEEDFULL ......hongera sana...........uyu brazamen wa jahazi skuizi atafutiwe kipindi cha peke yakke ili aweze kujifagilia vzr.ukijirekebsha kdg tu utapendeza sana cz u gt a talent n voice.......b dwn n usijikweze saaaaaaaaaaaana.
mungu awabarik clouds cz iz ma choice among redio nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiing km sjafungulia clouds bas najsikilizisha RTD................hahahaaa!! haha!!!!!!!!!
ngoja nkajitupie chai kdg
pamoja sana
he Following User Says Thank You to Tusker Bariiiidi For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
Kwa mujibu wa Mr. Sugu, huyu jamaa ana ngoma. Mie sioni aibu kusema maana husiposema wengi patricularly wasichana wataendelea kuchomoka kwa kutojua kuwa jamaa ana UKIMYA.

Mie huwa sipendi hata kumuona kwenye matangazo hasa lile Tangazo amevaa T.shirt yenye namba 1
Ila tukirudi kwenye maswala ya afya nashindwa kujua ni Dr gani alimpima na kuanza kusambaza kama ana ngoma ..
ama tunapima kwa macho??:confused2:
 
wivu? kwa kipi hasa alichonacho? usaliti kwa kizazi kijacho cha watanzania?
God forbid!
naona watu wanashindwa kudiskasi faktsi wanamdiskasi kibonde na klauzi efuemu!
wengine wamepledge kwa kusaga amfukuze kazi kisa ''si-hasa''

acheni hizo ''wanaharakati''
 
si mpendi kibonde coz anjifanya anajua wakati elimu ya mambo hana!infact ni mweupeeee kila idara!


KWA MTAZAMO WANGU MIMI, HII RADIO YA CLOUDS NI REDIO YA WATU (PEOPLES' STATION). INAPOONEKANA KWAMBA INAELEMEA UPANDE MMOJA, INAKUWA SIO FARE NA HATA WASIKILIZAJI WANAITOA MAANA KABISA. HII NI CHALLENGE KWA JOSEPH KUSAGA (Mmiliki wa Clouds FM & Clouds TV).........Angalia baba wasije wakakuharibia redio yako kama ilivyokuwa kwa akina Fina Mango na Masoud Kipanya.....
 
Mie mzalendo damu nisiyefungamana na upande wowote
sasa wewe kibonde amekukosea nini?
mwenzenu yupo kazini...!
mimi bila jahazi foleni ya jioni huwa naona haiendi kabisa

halafu maisha ya kujitengenezea stress na si-hasa mnayapendea nini wadau!?

LONG LIVE KIBONDE!
 
kibonde mnamuonea......
kwanza amesha declare yeye ni kada wa ccm,
pili kipindi chake ni kama comedy fulani..
sio kipindi serious......

nyinyi mnaomchukulia serious ndio mnapata tabu...

mimi namchukulia kama entertainer hivi....simchukii.....

haaaahaaaahaaahaaa..bora tuburudishwe na Joti?
 
sasa wewe kibonde amekukosea nini?
mwenzenu yupo kazini...!
mimi bila jahazi foleni ya jioni huwa naona haiendi kabisa

halafu maisha ya kujitengenezea stress na si-hasa mnayapendea nini wadau!?

LONG LIVE KIBONDE!

For my beutiful country I'll do anything,na sitaweza kuvumilia kuona watu wasio na upendo na Tanzania wakiendelea kufanya watakavyo.Hata kama sina nguvu,lakini NITASEMA mdomo ninao mpaka sauti isikike kote.
naona watu wanashindwa kudiskasi faktsi wanamdiskasi kibonde na klauzi efuemu!
wengine wamepledge kwa kusaga amfukuze kazi kisa ''si-hasa''

acheni hizo ''wanaharakati''

Yeye Kibonde na pumba zake ndio facts zenyewe.Wacha tumdiskasi asiendelee kupotosha umma....
 
Kibonde anajikomba huyo!! Anatafuta umaarufu kisiasa kupitia vyombo vya habari vya wengine ili hapo baadaye pengine neema imdondokee, hata ukuu wa wilaya tehe tehe!!

Kwa taarifa ni kwamba, Rais aliwapooza wafanyakazi kuanzia 2006 kuwa mishahara itapitiwa. Aliunda tume ambayo ililipwa mamilioni ya pesa kushughulikia mishahara na tume ile ilitoa mapendekezo kadhaa kuhusu mishahara, hususan, kwa watumishi wa umma. Mapendekezo yale yalionekana ni makubwa kuyaongeza kwa mkupuo. Hivyo, wakakubaliana waongeze taratibu kwa vipindi 3. Matokeo yake hadi leo hii amekuja kwenye kampeni mpya bado mishahara ni vitendawili na haijafikia viwango vile. Sasa basi, kwa nini wafanyakazi waendelee kumpigia kura? Watumishi wengi hasa wale wa sekta ya umma wanategemea monthly allowance "extra duty" ambayo kwanza si uniform kwa taasisi zake. My take ni kwa nini extra dty hiyo ambayo huwa kubwa kuliko mishahara ni kwa nini isiingizwe kwenye mishahara? Inawezekana kabisa kwani kama una uhakika wa kumlipa mfanyakazi hiyo allowance kila mwezi basi ni hakika kuwa inawezekana kuwa sehemu ya basic salary. Serikali amkeni, wekeni mazingira ya kufanyia kazi conducive kwa wafanyakazi wote!! Iweje taasisi moja itoe extra duty ya sh. 40,000 -80,000 (inategemeana na cheo) kwa siku kwa mfanya kazi na taasisi nyingine ilipe 5,000 - 10,000 per day per employee na si part ya basic salary? Mkirekebisha madudu ya hii disparity basi kila mtumishi wa umma hatalalamika. Pesa ipo ila inatumika vibaya na kwa upendeleao wa taasisi nyinginezo. I wish ningepewa madaraka ya kupitia na kurekebisha matatizo ya malipo kwa watumishi wa serikali, within 5 years ningefanya mageuzi!! However, ifike mahali tuseme basi yatosha.

At the same time, trade unions hazina solidarity, sijui nyie viongozi wake ni mamluki au? Oneni wenzenu kule bondeni!! Zuma anatamani ahame!!
 
Nilikuwa hijja kwa muda mrefu. Majuzi nikawa napitia magazeti ya kipindi chote ambacho sikuwapo. Katika issue mojawapo ya Raia Mwema katika AYA ZA AYAH BINTI HIDAYA nikasoma hisia kuwa watu wa mawingu walikuwa wamehongwa na chama fulani. Jana nikamsikia Kibonde akiboronga kama alivyofanya. Nikakumbuka aya ile ya Binti Hidaya. Sikuwa na shaka lolote tena kuwa kumbe kituo kizima kimenunuliwa kupiga vuvuzela kwa JK. Tuwapuuze huku tukijizatiti.

Msuruhishi
 
Kibonde anaweza U MC wa kwenye maharusi na vicheni party sio siasa..Kwa kifupi ni MPUMBAVU na sio mjinga narudia ni MPUMBAVU na anapenda sana kujikombakomba kwa viongozi...


Huyu Kibonde wenu sipendi maudhui ya ngonjera zake na naamini kwa kubwabwaja kwake siku moja atateleza vizuri na kujaa kwenye kikaango na hapo ndipo mwajiri wake na yeye binafisi watakapojua kuwa ngoma inogile ama sivyo huko mbeleni basi yawezekana kabisa akajikuta kama wale watangazaji wa Rwanda kwani hajui kuchagua maneno
 
Kibonde needs tol learn from Gerrard Hando... asiwe extremist kwenye hoja zake, a rational man huwa anabalance mambo
 
Acheni chuzi zenu binafsi Kibonde wa watu mnamchukia tuu bure! mi nadhani wengine hapa mnamchukia kwa sababu labda aliwahukulia marlfriend wenu au mlimtaka akawatolea nje n.k ...hizo ni chuki binafsi....kibonde kaajiriwa na katika hicho kipindi anatakiwa aweke na ukomedian ndani yake sasa kila mtu ala kazini kwake jamani!! hebu mwacheni Kibonde endeleza libeneke usiogope umeandikwa kwenye jamiii we endelea baba tuko pamoja....folen ya bongo lo tunaweza kusinzia huko manjian tukagonga magari yetu...well done Kibonde....big up bro tena jioni tukutane samaki samaki tupate moja mbili bariidiiii waache waendelee kubwabwaja tuu hapa jamiiii....
 
Pamoja na maelezo yako mazuri na yanayovutia naamini alichofanya rais amefanya kwa mamlaka aliyopewa na katiba ya Jamhuri ya Muungano. Angalia ibara ya 34 inaelezea mamlaka ya rais. Ibara yenyewe hii hapa kwa msaada zaidi:
34. Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mamlaka yake Sheria Na. 15 ya 1984 ib. 9; T.S. Na. 133 la 2001
(1) Kutakuwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na mamlaka juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengine yote yahusuyo Tanzania Bara.
(2) Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatahusu utekelezaji na hifadhi ya Katiba hii na pia mambo mengineyo yote ambayo Bunge lina mamlaka ya kuyatungia sheria.
(3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
(4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(5) Ifahamike kwamba masharti yaliyomo katika ibara hii hayatahesabiwa kwamba–
(a) yanahamishia kwa Rais madaraka yoyote ya kisheria yaliyowekwa na sheria mikononi mwa mtu au mamlaka yoyote ambayo si Rais; au
(b) yanalizuia Bunge kukabidhi madaraka yoyote ya kisheria mikononi mwa mtu au watu au mamlaka yoyote ambayo si Rais.

Siku njema.
 
Back
Top Bottom