Uchafu wa Mbunge wa Ulanga CCM

Wananchi wa jimboni kwake hawajawahi kuomba mbunge wao akapimwe. Lakini sasa angalia huyo... wananchi wake wameomba akapimwe
Yeye msigwa pia ni mwananchi wa jumbo lake, aliahidi na akasema "Atakayemuunga mkono Lowasa akapimwe akili" Sasa yeye kaishapimwa?
 
Kimtokacho MTU ndicho kimtiacho unajisi,kijana Huyo anajua ukweli juu ya historia ya kuzaliwa kwake,kama sio yeye basi waliomfuata,maana Mama anamjua Baba wa mtoto
 
Makamu wa rais kesha wajibu wabunge wa ccm wajitathimini kwa waliyo ambiwa, hakika wangemrudisha huyu mpuuzi kuomba radhi kwa wanawake wote TZ. Ila kwa kuwa wanajitia ni wehu watanyamaza ila ujumbe wameupata. Huyu dogo alizoea kuona viongozi wa ccm wakilala na mamake daily wanabadilishana likamkera ila alikosa pa kulitolea kulisema juzi bungeni alitukana wanawake wote ila alijificha kwenye kichaka cha ukawa, uchafu wa mama ake umemuathiri akili.
Hee unamaana alikuwa anashuhudia foleni ya wakubwa kama wana nunua sukari? Lazima awe na hasira, wengine so watakuwa humo humo mjengoni?
Akikumbuka alivyokuwa anaambiwa kijana sii ukatembetembe nje iki watu walambe sukari lazima hasira zimpande akiwaona sasa. Ukizingatia kuna habari anakula msuba! Kha!
 
uyu ni mtoto wa ccm,kakulia ccm,kasomeshwa na hela za ccm na ubunge kapewa na ccm. Haina aja ya kupima akili yake kwasababu wanajulikana jinsi walivyo.
 
Kwa akili ndogo tu...kweli mdee na uchapakazi kazi wake anaweza kua aliingia ubunge kibaby? ? Magamba tafadhalini acheni kutumia masaburi kufikiri
Ukisha taja neno gamba tu ujue hakuna mwenye akili huko ugambani
 
Makamu wa rais kesha wajibu wabunge wa ccm wajitathimini kwa waliyo ambiwa, hakika wangemrudisha huyu mpuuzi kuomba radhi kwa wanawake wote TZ. Ila kwa kuwa wanajitia ni wehu watanyamaza ila ujumbe wameupata. Huyu dogo alizoea kuona viongozi wa ccm wakilala na mamake daily wanabadilishana likamkera ila alikosa pa kulitolea kulisema juzi bungeni alitukana wanawake wote ila alijificha kwenye kichaka cha ukawa, uchafu wa mama ake umemuathiri akili.
Mkuu umeua kila kitu! Na inajulikana mamake alikufa kwa ngom......a bila ubishi! Bora angejikalia kimya tu bila kutukana akina mama huku na mamake alikuwa anabebwa kwa kugawa jojo!!
 
Hee unamaana alikuwa anashuhudia foleni ya wakubwa kama wana nunua sukari? Lazima awe na hasira, wengine so watakuwa humo humo mjengoni?
Akikumbuka alivyokuwa anaambiwa kijana sii ukatembetembe nje iki watu walambe sukari lazima hasira zimpande akiwaona sasa. Ukizingatia kuna habari anakula msuba! Kha!
Ndio maana ana bwabwaja hovyo kwa aliyo shuhudia hawezi kuwa na heshima kwa mwanamke na nilisikia hizo foleni ndio zimechangia mauti maana hakujiuliza lile swali la chukua hatua. Hasira hizi ipo siku ata twanga ngumi mwanamke bungeni.
 
baby magazeti ya siku hivi yananunuliwa ili yaandike uongo. Sasa kwa kuwa na wewe unafikiria ki baby bay basi umeingia kwenye mtego. Pole sana
Hata kwa kuangalia sura tu, unaweza fahamu kwamba huyu siyo mtu anayestahili ubunge. ni kichwa kibovu kkischojitambua. Ni tatizo la CCM kuwapa wafiwa nafasi ya ubunge kama pole ya chama. Anawaita baby watu yeye anajua mama yake aliingiaje bungeni? It is just another rubbish.
 
Mkuu umeua kila kitu! Na inajulikana mamake alikufa kwa ngom......a bila ubishi! Bora angejikalia kimya tu bila kutukana akina mama huku na mamake alikuwa anabebwa kwa kugawa jojo!!
Halafu mama yake alimnyooshea kidole Lowasa kuwa ni mgonjwa anaenda kujificha chadema, nashangaa sijui yeye alienda kufia india wakati ana bembea? like mother like son, yeye amekula dawa mpaka zimedunda anakuja kutukana mwingine hii familia hovyo sana.
 
Doh hii ndio shida ya kurusha mawe wakati unaishi kwenye nyumba za vioo

Ameyataka mwenyewe lakini ,mama yake si ni marehemu ila mabaya yake yatasemwa tu kwa sababu ya mwanae kutokutumia akili

Siasa ni mchezo wa ajabu sana
Marehemu huwa asemwi ila mama yke nae c walewale......nafasi zote z uongozi alipata kwa style hiyo......huko ulanga itakua walilazmishwa kumchagua huyo popoma
 
Hee unamaana alikuwa anashuhudia foleni ya wakubwa kama wana nunua sukari? Lazima awe na hasira, wengine so watakuwa humo humo mjengoni?
Akikumbuka alivyokuwa anaambiwa kijana sii ukatembetembe nje iki watu walambe sukari lazima hasira zimpande akiwaona sasa. Ukizingatia kuna habari anakula msuba! Kha!
Hata sura yake inajionyesha huyo ni majani makavu
 
Sofia simba ana cheo gani kwa wanawake wa ccm? Alijisifu kutembea na Kitwana Kondo hadi kumzalisha akiwa mke wa jamaa wa Afrika ya kusini aliyekuwa mkimbizi wa ANC alipomuaga kwenda kampeni za udiwani ndipo mambo ya Kitwana yalimchanganya na wanawake wakawa wakimzawadia uenyekiti tu tu.
 
Back
Top Bottom