Uchafu wa Mbunge wa Ulanga CCM

Zapa RadioFm

Senior Member
Feb 12, 2016
112
171
Alishawai kuteka na mengine Machafumengi haya hapa
IMG-20160509-WA0003.jpg
 
Huyo Mdee na gazeti lao hili alikuwa wapi kuitoa taarifa hii kabla hawajaitwa "Baby"? Crap!
Kila kitu kina wakati wake wa kuanza na sababu zake.
Kama kiko gazetini na anapakaziwa anayonafasi ya kujisafisha mahakamani. Ni vema tabia hii ikaendelea,mbunge anayetumia vibaya kinga ya bunge kuleta ujinga basi yake ya kijinga huku nje yakawekwa wazi magazetini.
Maana tunajua magazeti hayawezi kumsingizia mtu kwani sheria inawabana
 
Hawa ma-babys wameshapagawa wanajaribu kuzima sooo!!! Kwakuanzisha uzi feki dhidi ya mbunge wa Ulanga, hoja butu hiyo. Wa tuambie wazi wazi viti maalumu mchakato wake,
 
Sasa mpaka yamefika gazetini lazima yanaukweli kuntu
Unalijua gazeti lenyewe vizuri? Kila siku linandika habari kama za wapiga Ramli! Halina habari za ukweli. Ushahidi ulifichwa wapi miaka yote hiyo bila kufikishwa polisi? Hii ni kama ile video ya mauaji ya Arusha ambayo Mbowe mpaka sasa hajaikabidhi kwa wapelelezaji.
 
Huyo Mdee na gazeti lao hili alikuwa wapi kuitoa taarifa hii kabla hawajaitwa "Baby"? Crap!
Waingereza wanasema "Better to remain silent and be thought a fool than to speak out and remove all doubt."
Kama jamaa asingefungua mdomo wake wasingeondoa shaka kuhusu status yake, sasa hawana shaka tena kuwa kuna tatizo pale
 
Kila kitu kina wakati wake wa kuanza na sababu zake.
Kama kiko gazetini na anapakaziwa anayonafasi ya kujisafisha mahakamani. Ni vema tabia hii ikaendelea,mbunge anayetumia vibaya kinga ya bunge kuleta ujinga basi yake ya kijinga huku nje yakawekwa wazi magazetini.
Maana tunajua magazeti hayawezi kumsingizia mtu kwani sheria inawabana
Hamkutoa ushirikiano na polisi kipindi chote hicho mpaka muitwe "Baby"?
 
Hawa ma-babys wameshapagawa wanajaribu kuzima sooo!!! Kwakuanzisha uzi feki dhidi ya mbunge wa Ulanga, hoja butu hiyo. Wa tuambie wazi wazi viti maalumu mchakato wake,
wam
CCM wamekwambia viti maalum mchakato wake ulikwendaje na walipatikanaje wambunge wenu wa viti maalum?
 
Leo hii ndio unaliona hilo gazeti kuwa ni la kina mdee?kila siku linapo chapisha habari za kuitukuza ccm unakuwa unakata mauno kama zuzu!
Huku hakuna utaratibu wa kuzungusha mikono na mauno, hayo wanafanya ma baby!
 
Bila kushabikia chama chochote ukweli nikwamba huyu mbunge wa Ulanga aliongea bila kutafakari anachokisema yangi he didn't count his words before speaking them which is very bad for an aspirant political leader sometimes it costs a lot
 
Makamu wa rais kesha wajibu wabunge wa ccm wajitathimini kwa waliyo ambiwa, hakika wangemrudisha huyu mpuuzi kuomba radhi kwa wanawake wote TZ. Ila kwa kuwa wanajitia ni wehu watanyamaza ila ujumbe wameupata. Huyu dogo alizoea kuona viongozi wa ccm wakilala na mamake daily wanabadilishana likamkera ila alikosa pa kulitolea kulisema juzi bungeni alitukana wanawake wote ila alijificha kwenye kichaka cha ukawa, uchafu wa mama ake umemuathiri akili.
 
Back
Top Bottom