Uchafu mwingine wa Nishati na Madini

Pasco umeshaambiwa kuwa Masele alikuwa anakula madili ya dhahabu kwa kutumia public office (uwaziri wake). Hiyo inakuwaje private information? Hiyo dhahabu ni urithi alioachiwa na babu yake?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Gagnija, JF as a reputable social media outlet, has an obligation to respect "the right to privacy" za watu, mobile number is among the privacy za watu, hivyo kuijua mobile number ya mtu, haikupi right ya kuiexpose hiyo number in public bila ridhaa ya mwenye number, this is a violation of "the right to privacy".

Najua modes hawawezi kufuatilia kila kitu, ila sisi wanachama watiifu wa jf, pale tunapoona tunakwenda over and above, tunasaidiana kushtuana ili turejee kwenye mstari.

huyo ni public figure tayari no more privacy pasco.
 
Mkuu Gagnija, JF as a reputable social media outlet, has an obligation to respect "the right to privacy" za watu, mobile number is among the privacy za watu, hivyo kuijua mobile number ya mtu, haikupi right ya kuiexpose hiyo number in public bila ridhaa ya mwenye number, this is a violation of "the right to privacy".

Najua modes hawawezi kufuatilia kila kitu, ila sisi wanachama watiifu wa jf, pale tunapoona tunakwenda over and above, tunasaidiana kushtuana ili turejee kwenye mstari.

Anybody who volunteers to become a public figure, there and then his privacy is compromised!! Wananchi have a right to know everything about the people to whom they have entrusted their destiny. If you want to protect your privacy ,stay at home with your family and do not venture into public office!!
 
Mpita Njia keshanijibu. Aliyeanzisha thread angeandika Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Masuala ya Madini, Mhe. Stephen Maselle.

Wewe ndo mwenye matatizo, inajulikana wazi ukisema Steven Masele tayari unajua anashughulika na madini. Wewe hukuona hata wakati wa bajeti wabunge walipokuwa wanahoji madini automatically aliinuka Masele na walipohoji nishati aliinuka huyo rafiki yako.
 
Ndio shida ya watu kutumi real ID zao, yaani mtu anatetea uozo kwakuwa tu anajua 'watu' wanamsoma sijui ili apate favor au kuprotect ngozi yake. Bora kutocomment kuliko kujipendekeza.
Eti no ya Simu ni private thing ambayo inalindwa na privacy bla bla. Sasa kwanini imesajiliwa kwa jina? Lkn pia as long anaitumia kwa issue za kazi/umma hata kama kuibia mali yetu, then it is a public thing according me, mtoa mada na wachangiaji wengi humu ndani.

Waichukulie hatua JF kama wana guts; si umeshawastua!
 
Naibu waziri nishati na madini bw. steven masere amepokea rushwa kiasi cha tsh milioni 30 ili kuwafukuza na kuwapora haki wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wa mgodi wa konkirangi uliopo kiomboi singida.

tajiri huyo anayeitwa bw. john bena mwenye asili ya kenya ametoa rushwa nyumbani kwa waziri huyo dodoma siku ya ijumaa tarehe 10 ya mwezi huu majira ya saa 2 usiku na kumuomba akawaondoe wachimbaji hao halali ktk mgodi huo na waziri kuahidi kwenda huko siku ya tarehe 13 mwezi huu yaani jumatatu.

Pia ktk mtandao huo wa rushwa nene yupo mkuu wa wilaya hiyo bw yahya ismail mawanda na afisa usalama wa wilaya bw. Ruta rutabeka lakini walishindwa kutokana na kuona aibu.

Kwa wanao weza kufuatilia waangalie mawasiliano kati ya wazito hao…

Source?
 
Pasco umeshaambiwa kuwa Masele alikuwa anakula madili ya dhahabu kwa kutumia public office (uwaziri wake). Hiyo inakuwaje private information? Hiyo dhahabu ni urithi alioachiwa na babu yake?
Mkuu Gagnija, privacy ninayoizungumzia mimi ni exposure of his private number in public, bila ridhaa yake!.

Sisi waandishi tunapata access ya personal private information nyingi tuu, tuna jukumu la kuripoti ukweli wakati wote lakini pia tuna jukumu la kuheshimu na kulinda privacy zote tunazozijua by nature ya kazi zetu!.

Hivi mnajua kuwa Posta wanazifungua barua kibao na kuzisoma, kuscan na kuzikopy?. Hivi umewahi kusiklia details zozote toka posta?!. Makampuni yote ya simu ya bug simu kibao, kusikiliza conversations kibao na kurekodi lots a lots of calls, mmewa`hi kusikia details za data hizo in public?!. That is the right to privacy!.

Hata ikitokea sisi tunaokaa uswazi nyumba za kupanga, umerudi usiku mkubwa, kumbe jirani yako chumba cha pili, kaacha taa inawaka na hakufunga pazia huku akijipatia haki zake za msingi kwa mkewe, kibinaadamu unavutiwa na kujikuta umesimama kushuhudia mitindo na manjonjo!.

Kama wewe ni jirani mwema, kesho yake unaweza kumnongoneza, next time asisahau kuzima taa anu kufunga pazia kama jamna usiku, mwenye akili ataelewa!. Jirani mbaya ni yule atakayeanza kutangazia majirani wengine wote mitindo aliyoiona jana yake, huo ni ukiukwaji wa the right to privacy!.

Huu ukiukwaji wa right to privacy unafanywa humu mara kibao, mtu anakuta personal photos za mtu kwenye simu yake/cd/album, unakuja kuzi publish humu bila ridhaa yake, hili ni kosa kisheria!.

Hiyo story ingeweza kusimama hivyo ilivyo bila kuweka hizo number za simu!.

Pasco.
 
huyo ni public figure tayari no more privacy pasco.

Anybody who volunteers to become a public figure, there and then his privacy is compromised!! Wananchi have a right to know everything about the people to whom they have entrusted their destiny. If you want to protect your privacy ,stay at home with your family and do not venture into public office!!

Mkuu Lukansola na Ndinani, nakubali kabisa kuwa ukiwa ni public figure, the public has the right to know your public as well as private conduct, but when it comes to personal imformation, it can only be released at your discretion.

Mfano mzuri ni ile ripoti ya ugonjwa wa Dr. Mwakiembe, daktari wake anaijua, serikali inaijua na Dr. Mwakiembe mwenyewe anaijua, kama mgonjwa mwenyewe, hayuko tayari kusema in public, anaumwa nini, no one else has that right, ndio maana yule ofisa wa polisi aliposema sio sumu, wote walimruka!.

Hii right to privacy ni wajibu, kama yalivyo mahusiano kati ya mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, mewanasheria na mteja wake etc!.

Concern yangu sio kuuficha ukweli, bali kuexpose private number ya mtu bila sababu ya msingi, ndio maana nikauliza ile number ya simu ameiweka in public ili iweje?.
 
Ndio shida ya watu kutumi real ID zao, yaani mtu anatetea uozo kwakuwa tu anajua 'watu' wanamsoma sijui ili apate favor au kuprotect ngozi yake. Bora kutocomment kuliko kujipendekeza.
Eti no ya Simu ni private thing ambayo inalindwa na privacy bla bla. Sasa kwanini imesajiliwa kwa jina? Lkn pia as long anaitumia kwa issue za kazi/umma hata kama kuibia mali yetu, then it is a public thing according me, mtoa mada na wachangiaji wengi humu ndani.

Waichukulie hatua JF kama wana guts; si umeshawastua!
Ndio raha ya kutumia real ID huwezi kujaza humu mautumbo utumbo, dhamira yako itakusuta.

Humu jf tuna tatizo sana na ukweli, nothing but the truth, wengine hawapendi kuambiwa ukweli, hikio nikisemacho ndio ukweli halisi wa "nothing but the truth".

Na ukweli halisi sometimes ni kama kidonge kichungu, its up to you umeze au uteme, hiyo ni shauri yako, kazi ya daktari ni kugawa tuu dose, amekuwa ametimiza wajibu wake. Mimi kama mwanahabari wa jf, naihesabu jf kama chombo cha habari, chenye heshima kubwa hivyo tunawajibika kufuata ethics japo wote humu sio watoa habari professionals, ila ukishatoa tuu habari, wewe ni mtoa habari hata kama iukweli huko ofisini kwako wewe ni mesenja tuu, kwetu sisi jf, wewe ni mtoa habari muhimu!.
 
Mkuu Slobodan Milosovic, kwanza karibu jamvini, maana naona ndio kwanza umejiunga le. Pili asante kwa taarifa muhimu na nyeti kama hizi na mwisho hizo simu umeziweka za nini?!, huko ni kwenda kinyume cha "right to privacy"!.

Mkuu Umeniwahi sana katika hili la kujiunga leo.! Huyu naye simwamini kabisa habari nyeti kama hizi zinaletwa na mtu aliyekuwepo toka mwanzo hadi mwisho wa hii game, 10Million? Uliziesabu? Saa mbili usiku ulikuwepo? Kama mtu makini ungewahita PCCB fasta waje kumshika ugoni Mh anachukua hiyo 10M...Sikubaliani na wewe kwakweli..
Kama umetumwa na uingine kwa jina Jipya sawa ila Mh wa Madini ni Kijana safi mpaka sahv
 
Ndio raha ya kutumia real ID huwezi kujaza humu mautumbo utumbo, dhamira yako itakusuta.

Humu jf tuna tatizo sana na ukweli, nothing but the truth, wengine hawapendi kuambiwa ukweli, hikio nikisemacho ndio ukweli halisi wa "nothing but the truth".

Na ukweli halisi sometimes ni kama kidonge kichungu, its up to you umeze au uteme, hiyo ni shauri yako, kazi ya daktari ni kugawa tuu dose, amekuwa ametimiza wajibu wake. Mimi kama mwanahabari wa jf, naihesabu jf kama chombo cha habari, chenye heshima kubwa hivyo tunawajibika kufuata ethics japo wote humu sio watoa habari professionals, ila ukishatoa tuu habari, wewe ni mtoa habari hata kama iukweli huko ofisini kwako wewe ni mesenja tuu, kwetu sisi jf, wewe ni mtoa habari muhimu!.

Dhamira ya mtu haisutwi kwa kutumia real ID, unachosutwa nacho ni mtazamo wa watu juu yako.
Binadamu tuna vitu ambavyo tunataka watu watuamini navyo, ambavyo si 100% truth, mfano mdogo say wewe ulishambaka niece wako wakati she is say 4 yrs old. Ukweli huo unaujua na hata iweje hutataka mtu aujue, lakini kama dhamira inakutesa with a fake ID you can talk about it na kidigo dhamira ikapungua. Au kama ni mkatoliki unaweza enda hata ungama kwa padri wa kanisa lingine ambaye hakujui ili uwe huru.

Real ID is associated with unafiki
Fake ID husaidia watu kuwa themselves.

Check wengi wanaotumia ID real (ambao wanajulikana at least) wako so careful katika kuside na upande upi, au katika kupick words.
 
Ndio raha ya kutumia real ID huwezi kujaza humu mautumbo utumbo, dhamira yako itakusuta.

Humu jf tuna tatizo sana na ukweli, nothing but the truth, wengine hawapendi kuambiwa ukweli, hikio nikisemacho ndio ukweli halisi wa "nothing but the truth".

Na ukweli halisi sometimes ni kama kidonge kichungu, its up to you umeze au uteme, hiyo ni shauri yako, kazi ya daktari ni kugawa tuu dose, amekuwa ametimiza wajibu wake. Mimi kama mwanahabari wa jf, naihesabu jf kama chombo cha habari, chenye heshima kubwa hivyo tunawajibika kufuata ethics japo wote humu sio watoa habari professionals, ila ukishatoa tuu habari, wewe ni mtoa habari hata kama iukweli huko ofisini kwako wewe ni mesenja tuu, kwetu sisi jf, wewe ni mtoa habari muhimu!.

Mkuu Pasco hapo kwenye red panahitaji marekebisho; kwa mtazamo wangu lakini...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lukansola na Ndinani, nakubali kabisa kuwa ukiwa ni public figure, the public has the right to know your public as well as private conduct, but when it comes to personal imformation, it can only be released at your discretion.

Mfano mzuri ni ile ripoti ya ugonjwa wa Dr. Mwakiembe, daktari wake anaijua, serikali inaijua na Dr. Mwakiembe mwenyewe anaijua, kama mgonjwa mwenyewe, hayuko tayari kusema in public, anaumwa nini, no one else has that right, ndio maana yule ofisa wa polisi aliposema sio sumu, wote walimruka!.

Hii right to privacy ni wajibu, kama yalivyo mahusiano kati ya mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, mewanasheria na mteja wake etc!.

Concern yangu sio kuuficha ukweli, bali kuexpose private number ya mtu bila sababu ya msingi, ndio maana nikauliza ile number ya simu ameiweka in public ili iweje?.

Asante kwa ufafanuzi mkuu Pasco, lakini nashindwa kufananisha privacy ya namba ya simu na ugonjwa wa mtu, naona kama ni vitu ambavyo havishabihiani kwa kutolea mfano. mdau mmoja kasema humu ndani kuwa zamani wakati wa shirika la posta na simu namba za simu ziliwekwa kwenye kitabu, na sidhani kama waliosajiriwa waliombwa ushauri kama namba zao ziwekwe public ama la. leo asubuhi nimemsikia Innocebt Mungi wa TCRA akizungumzia mpango wa kuweka anuani za mitaa (postal Code) sasa hii unasemaje maana licha ya namba za simu watu watajulikana mpaka mitaa na nyumba wanazoishi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lukansola na Ndinani, nakubali kabisa kuwa ukiwa ni public figure, the public has the right to know your public as well as private conduct, but when it comes to personal imformation, it can only be released at your discretion.

Mfano mzuri ni ile ripoti ya ugonjwa wa Dr. Mwakiembe, daktari wake anaijua, serikali inaijua na Dr. Mwakiembe mwenyewe anaijua, kama mgonjwa mwenyewe, hayuko tayari kusema in public, anaumwa nini, no one else has that right, ndio maana yule ofisa wa polisi aliposema sio sumu, wote walimruka!.

Hii right to privacy ni wajibu, kama yalivyo mahusiano kati ya mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, mewanasheria na mteja wake etc!.

Concern yangu sio kuuficha ukweli, bali kuexpose private number ya mtu bila sababu ya msingi, ndio maana nikauliza ile number ya simu ameiweka in public ili iweje?.
Mkuu Pasco, umejitahidi sana lakini kwa mtazamo wangu, bado tunalo tatizo la mpaka uwe wapi kwenye maswala ambayo ni public na yale ambayo ni personal and private. Hii maneno ya ethics tumeyakopi kwa wenzetu, na bahati mbaya tunakopi vitu nusunusu. Nitatoa mfano kwa rais wetu ambaye amewahi kuanguka hadharani zaidi ya mara mbili na mpaka leo hatujui ni nini kinachomsumbua kwa kisingizio cha siri ya Daktari na mgonjwa wake. Unafikiri haya yangemtokea Obama wananchi wake wangeridhika kuwa ni swala private? Au wao hawazijui hizo ethics.
 
Naibu waziri nishati na madini bw. steven masere amepokea rushwa kiasi cha tsh milioni 30 ili kuwafukuza na kuwapora haki wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wa mgodi wa konkirangi uliopo kiomboi singida.

tajiri huyo anayeitwa bw. john bena mwenye asili ya kenya ametoa rushwa nyumbani kwa waziri huyo dodoma siku ya ijumaa tarehe 10 ya mwezi huu majira ya saa 2 usiku na kumuomba akawaondoe wachimbaji hao halali ktk mgodi huo na waziri kuahidi kwenda huko siku ya tarehe 13 mwezi huu yaani jumatatu.

Pia ktk mtandao huo wa rushwa nene yupo mkuu wa wilaya hiyo bw yahya ismail mawanda na afisa usalama wa wilaya bw. Ruta rutabeka lakini walishindwa kutokana na kuona aibu.

Kwa wanao weza kufuatilia waangalie mawasiliano kati ya wazito hao…

Hizi ni habari za kupakana matope nadhani humfahamu Mhe Masele vizuri si mtu mwenye njaa ya kupokea milion 30. Kwa sababu kwake yeye hiyo nisawa na senti hamsini.
 
Fixed telephone lines, box office number, hse number, office number, street number, ni public domain information ambazo ziko access to public, mobile number ni personal, wengine wanaita "private number" hutolewa kwa idhini ya mwenye number!.

Mfano mimi nazijua mobile za JK, Pinda, Othman, Mwamunyage, Mwema etc, by nature ya kazi yangu as a journalist. Hata ukiniuliza kuwa unaomba mobile ya JK, siwezi kukupa, sasa sana labda nimwambie fulani anashida naye na anaomba mobile number yake, only at his discretion, ndipo nitakupa!.Ukienda vituo vyote vya polisi pale mapokezi, utakuta official mobile number za wakuu wote, kuanzia IGP, RPC, OCD etc zimewekwa public, hizo ni public domain mobile, lakini wote hao wanazo private mobile number zao ambao hazipo pale ila watu wanazo, hizo ndizo hizo "right to privacy".Kwenye uandishi wa habari, kuna kitu kinaitwa "the confidentiality of the source", ukinipa taarifa nyeti za siri, mimi kama mwandishi ninawajibika kuhifadhi identity yako na hata ikibidi mimi kushikitakiwa kwa "possession of confidential information", nitakwenda jela bila kukutaja!. Baadhi ya waandishi wa gazeti la Mwanahalisi, wanaandikia masifa zaidi kuliko kufuata weledi, vivyo hivyo baadhi yetu hutumia masifa kuposti humu "private information za watu" kwa masifa tuu bila kufuata "the right the privacy", for jf survival a sustainibility for the future, this must stop sooner or later, vinginevyo jf tutageuka kijiwe cha kahawa kwa hoja za furahisha genge!.
Pasco,
Umeandika waraka mrefu bahati mbaya hujagusia hoja yangu ya msingi - "Mtu anapotumia vibaya simu yake kuhujumu Taifa". Hivi tufanye nimemsikia kwa masikio yangu Waziri mwenye dhamana na Mali asili akiwa ana burgain na mwindaji wa kizungu bei ya kuuziana twiga mmoja kutoka mbunga ya Mikumi. Na bahati nzuri mazungumzo yao yalikuwa through Mobile Telephone.

Kwamba siruhusiwi kusema kwamba Mheshimiwa fulani alikuwa anapanga dili ya kuuza Twiga kwa Mzungu kupitia simu yake namba 0713XXXXXX (Ili mtu ambaye yupo kwenye mitandao ya simu aweze kuprove) kisa ntakuwa naingilia Privacy yake? Kwamba inabidi niende nimuombe idhini ya kutaja namba yake hadharani? Hapana Kaka.

Tukubaliane tu kwamba kuna mazingira ambayo disclosure of individual Telephone numbers siyo violation of Privacy hasa pale disclosure itakapopelekea kuibuliwa kwa taarifa za ufisadi na mawasiliano ya kuhujumu nchi!

TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Nampogeza aliyeleta uzi huu kwani ni ulinzi tosha kwa wachimbaji wadogo wadogo huko Nkokilangi. na WAKIWAFUKUZA TU WAMECHUKUA RUSHWA NA WAKIWAACHA WAMEONA AIBU KWA KUUMBULIWA,
 
Pasco,
Umeandika waraka mrefu bahati mbaya hujagusia hoja yangu ya msingi - "Mtu anapotumia vibaya simu yake kuhujumu Taifa". Hivi tufanye nimemsikia kwa masikio yangu Waziri mwenye dhamana na Mali asili akiwa ana burgain na mwindaji wa kizungu bei ya kuuziana twiga mmoja kutoka mbunga ya Mikumi. Na bahati nzuri mazungumzo yao yalikuwa through Mobile Telephone.

Kwamba siruhusiwi kusema kwamba Mheshimiwa fulani alikuwa anapanga dili ya kuuza Twiga kwa Mzungu kupitia simu yake namba 0713XXXXXX (Ili mtu ambaye yupo kwenye mitandao ya simu aweze kuprove) kisa ntakuwa naingilia Privacy yake? Kwamba inabidi niende nimuombe idhini ya kutaja namba yake hadharani? Hapana Kaka.

Tukubaliane tu kwamba kuna mazingira ambayo disclosure of individual Telephone numbers siyo violation of Privacy hasa pale disclosure itakapopelekea kuibuliwa kwa taarifa za ufisadi na mawasiliano ya kuhujumu nchi!

TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),

tumbiri@jamiiforums.com

Mkuu Tumbiri, japo nakubaliana na wewe kuna disclosure ya personal numbers ambayo sio violation of the "right to privacy" kama kwenye issues za "public interest". Hiyo disclosure hufanywa kwenye relevant authorities ili kutake action for the "public interest" lakini sio hii ya public display, ndio maana nikauliza zile number kwenye hii story ameziweka za nini?. Story inaweza kusimama yenyewe kama story hata bila zile number!.
 
Mkuu Tumbiri, japo nakubaliana na wewe kuna disclosure ya personal numbers ambayo sio violation of the "right to privacy" kama kwenye issues za "public interest". Hiyo disclosure hufanywa kwenye relevant authorities ili kutake action for the "public interest" lakini sio hii ya public display, ndio maana nikauliza zile number kwenye hii story ameziweka za nini?. Story inaweza kusimama yenyewe kama story hata bila zile number!.
Pasco,
Diclosure of evidence to relevant authorities ina negative side effects zake kwa 'witness (shahidi)' hasa kwa kipindi hiki ambacho tumeshuhudia mtu ukijidai wewe ni kiherehere wa kuchonga domo unatekwa na kupelekwa Mwabepande kunyofolewa kucha, meno, nywele nk. Sasa kwa vile watu wanakuwa na evidence ya hizo Phone Numbers na kwa kuwa wanahofia usalama wao incase wakipeleka direct wao wenyewe, watu wanaamua waweke hapa kwa sababu hizo authorities zinapita sana humu jamvini. Au hujui kwamba Said Mwema, Jack Zoka, Edward Hosea, Jakaya Kiwete na Vijana wao wa kazi wanapita sana JF?

TUMBIRI (PhD, HULL University, HULL City - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Back
Top Bottom