MTM,Thanks Mtanzania
Mimi ningeshukuru kujua wewe kama mtanzania umefanya nini kupambana na uchafu na pia ungeshauri kutatua tatizo hilo
Pamoja
Wa Tanzania wengi asili yetu ni uchafu, tena wa jadi, ndio maana ukaona mpaka leo hata tuwe tunaishi jalalani au kwenye mifereji ya maji machafu, hatuna hata wasi wasi. Tatizo ni uchafu wa roho zetu! Roho zikiwa safi basi hata mazingira yatakuwa safi.
Kwa sisi watu wa pwani tunasema waliotuletea huu uchafu ni watu wa bara, wala nguruwe! Mnyama anaekula mavi yake, anejigaragaza kwenye mikojo yake na asieridhika mpaka afugwe kwenye mazingira machafu, Duh! sasa ukimla huyo au ukimfuga huyo nawe ukoje?
Miaka ya sitini na kabla ya hapo, Mji wa Dar Es Salaam, ulikuwa hauna mauchafu kama yalivyo sasa, wakati huo wala na wafuga nguruwe walikuwa wachache sana Dar Es Salaam, Nyerere alikuwa hajawaleta kwa mwenge bado.