Mnyika wala huwezi kumlinganisha na Nape. Mnyika ana uwezo zaidi wa uongozi na ana mtaji tayari katika jimbo. Nape nina wasiwasi kama atapita ndani ya mchuzo wa chama chake. Hata akipita atakuwa majeruhi tayari wakati Mnyika atakuwa anasubiri majeruhi gani wa kudili nae. Nape bora atafute jimbo lingine la Dar. Ubungo ni ya CHADEMA, Ubungo ni ya Mnyika!
leee lelelee amba!