TreasureFred
Member
- Feb 25, 2008
- 64
- 3
Kaka/Dada hebu kabla sijatoa mtazamo wangu niambie NAPE amemaliza degree ya kitu na chuo gani?ili tuweze ku evaluate elimu yake na baada ya hapo tumfananishe na Mnyika.
Naomba msaada wako.
Naomba msaada wako.