Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Hivi hao mafisadi bado wanangomba nini huko!!
Ndugu zangu wana Tarime munamwagiana pilipili na kutunguana mawe bure tena ninyi kwa ninyi .Hao wote hawatatetea maslahi yenu atakaye pata hilo jimbo CCM ama CHADEMA watarudi zao DSM na kula posho huko huko na watarudi tena 2010.Wasiwadanganye kitu Hakuna mtetezi hapo.
Tena ni bora mmepa yeyote bila kupigana ninyi kwa ninyi maana hayo majereha mtayotiana baada ya tarehe 12 mtabaki na majonzi yenu na mtayaganga ninyi wenyewe wakati wao wakipata kuku kwa mrija DAR.
Mkamap
Very well said .hapa umeacha unazi umesema ukweli .Lakini wa kulaumiwa zaidi ni Serikali ya CCM na si wana Tarime.Wana Tarime wanalishwa sumu.Hata baada ya Uchaguzi kutakuwa na maafa na they will never heal na maneno yako Mkamp yatakumbwa .