msekwa always a loser! short on vision and long on poor judgement!
Mkuu PM,
Heshima mbele, jana nilikuwa ninaongea na Mkulu mmoja wa CCM aliyetoka Tarime, nilipomuuliza kuhusu majimbo ya Biharamulo na Mwibara, kwa furaha sana alinijibu kua "....kijana kumbe hujui kuwa bunge lilishapitisha muswaada wa kupiga marufuku chaguzi ndogo za ubunge miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu?..." akaniambia kuwa maana yake ni kwamba hakutakuwa na mbunge au uchagiz kwenye haya majimbo mpaka uchaguzi mkuu wa 2010,
Nilipombana zaidi, akaniambia "....kijana uchaguzi ukifanyika leo hatushindi CCM..., kwa hiyo hii sheria ni nzuri sana kwetu..."
Sasa hebu wakuu wanaojua vizuri je hiyo sheria ipo kweli au?
This is merely "storm in a tea cup"
..kabisa mkuu ..kikwete also shares party of blames....unajuwa strategy ya chadema ilikuwa kali....kuhusu kumshirikisha mwenyekiti wao wa chama...they left people guessing ...and never disclose if he would attend....has ukizingatia na zile shutuma kuwa mbowe alikimbia tarime na anaogopa kwenda.....kila mtu alikuwa anajuwa hangekwenda.....IWAPO MBOWE ANGEWAHI TARIME KAMA WENGINE...ANGESABABISHA CHADEMA KUSHINDWA KWANI ANGEKUWA NA MUDA MREFU ZAIDI WA KUWA CENTRE OF ALLEGATION ,...NA ANGEISHIA KUGEUZWA KITUKO ..ZAIDI PIA ANGEWEZA KUANDALIWA WATU WA MUMZOMEA KWELI...KWA KITENDO CHA KWENDA MWISHONI ..AMEKUWA THE REALLY LAST CARD NA MSAADA KWA CHAMA CHAKE.....
Sasa kitendo cha mbowe kutua ghafla tarime kama mwewe kilimfanya kila mmoja kujuwa atasema nini hasa ukizingatia propaganda zilizokwisha mwagwa mwezi mzima....that helped mbowe to pull crowd......na kwa kuwa alikuwa ameshaandaa maneno ya kuwaambia kutokana na propaganda chafu kuwa hangeenda ..that gave chadema more credits..
The fact kwamba mbowe alienda zimebaki siku 4 ....was good kwa kuwa kina makamba walishaongea yote ...hawakuwa tena na jipya.....kina zitto pia walishasema yao...so mbowe alikuja kumalizia kazi yao nzuri.....na ukizingatia aliingia na nguvu ya helicopter na ndani ya siku nne alipita kila mahali..
Kwa uchambuzi wangu...mtu pekee ambaye angeweza angalau ku cover hiyo gap ya kura 7000 walizowazidi chadema..ni kikwete ...tena hata kina makamba wamejitahidi sana....hawakuwa tena na hoja...laiti na yeye angeingia mwishoni kama mbowe ........angeweza kubadili mawazo ya undecided voters ......kwani waliotoa ushindi tarime ni undecided voters ..kwa hali ile ya low voters turn out..kila chama kilipigiwa kura na wapenzi wake walio sacrifice kujitokeza .......na wachache ambao si wakereketwa walishawishika kujitokeza ndio waliamua
mshindi....
Lakini vile vile kitendo cha rais kutokwenda kinaweza kuwa kimemsaidia....kiusalama ..na pili kisiasa....kwani angeweza kuvuna aibu ya kuzomewa..kurushiwa mchanga,mawe ..potelea mbali hata kama yasingemfikia kutokana na ulinzi wake...but ujumbe ungekuwa umefika...na pia angeweza kushindwa uchaguzi vilevile..matokeo yake ingeporomosha zaidi umaarufu wake kitaifa...
Mbeleni tutarajie upinzani kuendelea kupata nguvu kwani uchaguzi huu umebakisha vyama makini vitatu tanzania..ccm.chadema na cuf...vyama vya nccr,tlp ..et al vimejimaliza uchaguzi huu kwa kuonekana wazi kukubali kutumiwa ...hasa kueneza propaganda chafu...hii itawasaidia watanzania kujua waweke wapi matumaini yao...na kwa hapo tutafikia kwenye utabiri wa nyerere kuwa vyama vibaki vichache makini na kwa tanzania [bara]..chadema ndicho chama makini kwa mtazamo wa mwalimu julius kambarage nyerere,,,,.
Wewe ni wa kupuuzwa tu...
Hivi stephen wassira bado kitambi chake kile kipo?
Hivi stephen wassira bado kitambi chake kile kipo?