Amani Nyekele
Senior Member
- Jul 8, 2011
- 159
- 26
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.
Source: Star TV habari saa 2 jioni.
MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.
Source: Star TV habari saa 2 jioni.
MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.