Ubunge Igunga: CUF waiomba NEC kuongeza kiwango cha Matumizi

Amani Nyekele

Senior Member
Jul 8, 2011
159
26
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.
 
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.

CUF Walishaachiwa nafasi hyo na CDM 2010 ila hawajafya lolote, hatuwezi kufanya upuuzi kuwaachia tena
 
CUF wanahangaika

CCM wapo kwenye 600M, almost all of it in "informal" way

wacha wabaki kama nyumba ndogo tu
 
Leo NCCR Mageuzi wametangaza kutosimamisha mgombea Igunga kwa kuhofia kuzigawa kura za wapinzani.
Hongera zenu NCCR Mageuzi
 
Halafu hawa NCCR wasitundanganye eti wanatakia mema upinzani, Km kweli wana malengo mazuri na upinzani MBATIA akafute kesi aliyomfungulia mdee, Sio igunga wanataka kudumisha upinzani halafu Kawe wanataka kuzamisha upinzani, Hii ni akili au matope? sisi tuna akili timamu sio km wao
 
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.
Ukiwa unaleta mada wakati akili umezishuti upande mmoja huwezi kuona upande mwingine, tunavyojua CUF na CCM ni washirika kwa hiyo waangalie wasije kugawana kura wakaiacha Chadema ikipeta.
 
mara nyingine ni bora wapinzani ktk masuala ya kuiondoa CCM madarakani wawe wanaungana hii itawasaidia CDM inaonyesha hawana mizizi Igunga So it is better wawaunge mkono CUF.
 
mara nyingine ni bora wapinzani ktk masuala ya kuiondoa CCM madarakani wawe wanaungana hii itawasaidia CDM inaonyesha hawana mizizi Igunga So it is better wawaunge mkono CUF.
Kuungana ni ujinga kwani lini wao watapata mizizi Igunga hata kama NCCR wangekuwepo sawa tu kila chama na mipango yake kwani kwenye uchaguzi mkuu CDM ilisaidiwa na nani, huwezi wewe kila uchaguzi ukategemea kuungana utakomaa lini na kujitegemea, washaurini CUF waungane na CCM watanyang'anya kura.
 
mnyampaa nyekele umehama lini ccm?

Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.
 
kwa maoni yako unapenda ccm ishindwe igunga au unauhadaa uma usijue kuwa ccm na cuf dugu moja matumbo tafauti eh! nina mashaka na uwezo wako wakuchambua mambo.

Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.
 
mara nyingine ni bora wapinzani ktk masuala ya kuiondoa CCM madarakani wawe wanaungana hii itawasaidia CDM inaonyesha hawana mizizi Igunga So it is better wawaunge mkono CUF.
kuunga mkono CUF ni kuunga mkono CCM B! Na hii inapaswa kuwa mbiu ya kampeni ya CHADEMA wawaambie wana Igunga; CUF ni CCM chanda na pete, kama wanataka kubadilisha CCM basi wasichague CUF na CCM waana ni mtu yuleyule!
 
cdm hawawezi kuungana na vyama vingine hii ni kawaida ya chadema kwani mmesahau sifa hiki chama 1 ubinafsi, 2. ubaguzi, 3. ukaskazini, 4 udini, uchaga,
 
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.
pumba umba pumbaaaaa...........cuf si ndio ccm b?wabunge wa cuf wanafanya nn bungeni?majimbo yao yote yarudiwe uchaguzi ..alahhh
 
Chama cha Wananchi CUF kimemuomba Msajili wa Vyama vya siasa nchini kuongeza kiwango cha matumizi ya kampeni kwa kila chama kufikia TSH. milioni 80 ili kufanikisha kampeni zao.

Source: Star TV habari saa 2 jioni.

MTAZAMO WANGU:
Pamoja na juhudi hizi za wapinzani Ukweli ni kuwa Wapinzani hawana chao Igunga kwa kuwa CHADEMA watagawa kura kwa ulafi wao wa madaraka na kukipa CCM ushindi wa kishindo. Ni vema CHADEAMA wakamuunga mkono mgombea wa CUF ambaye ana mtaji mkubwa wa wapiga kura Igunga kama walivyofanya NCCR Mageuzi.

CUF na CCM waliungana wakawa madarakani, CUF sio chama cha upinzani....nadhani ungesema CUF waiombe CCM iwaachie maanaa ndio wenye ushirikiano. Acheni hayo mambo ya kulaumu CDM; wanafanya siasa kadiri ya sheria na utashi wa chama...sio mtu unaibuka na mawazo yako leo unataka CDM wayafuate!

I guess, I sound like a Chaga..Lol!
 
cdm hawawezi kuungana na vyama vingine hii ni kawaida ya chadema kwani mmesahau sifa hiki chama 1 ubinafsi, 2. ubaguzi, 3. ukaskazini, 4 udini, uchaga,
<br />
<br />
UBINAFSI NI SERA YA CUF,UDINI WABUNGE WOTE WA CUF,NI MUJAHIDINA,UKABILA NI UPEMBA TUPU,KVANZIA 1995 .MTAWAAMBIA NINI WATZ WENYE AKILI. SLAA KAPATA KURA MORE DHAN 2 M .IDADI ZA KURA ZA CUF. PEMBA NA UNGUJA HATA ZA WAISLAAM WA MTWARA NA TANGA HAZIJAFIKA NUSU YA KURA
ZA DR .
 
Back
Top Bottom