DISPLEI
Member
- Oct 17, 2012
- 70
- 46
Barabara za mitaani maeneo mbali mbali zimeharibika sana. Sasa hivi ukitaka kutoka kwenda kwenye shughuli za kila siku, mwenye gari unaaza kulihurumia linakopita kabla ya kufika kwenye barabara yenye unafuu.
Kwa nilikopita nikichukulia mfano Dar es Salaam ukitoka barabara kuu maeneo mengi yako vibaya.
Wahusika Mungu awafungulie wachukue hatua vinginevyo tunateseka sana.
Kwa nilikopita nikichukulia mfano Dar es Salaam ukitoka barabara kuu maeneo mengi yako vibaya.
Wahusika Mungu awafungulie wachukue hatua vinginevyo tunateseka sana.