flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,343
Ndio mkuu maana nakumbuka niliinunua laki 5 na 50Ingekuwa smart toka siku unainunua bei ingekustua dukani. Hio sio smart tv bila shaka!
Ndio mkuu maana nakumbuka niliinunua laki 5 na 50Ingekuwa smart toka siku unainunua bei ingekustua dukani. Hio sio smart tv bila shaka!
Star x,naitumia mwaka wa 3 sasa, haijawahi nisumbua.iko vizuri
Kupokea kwa kutumia Usb au????Star X kaka ina uwezo wa kupokea picha kutoka kwenye Simu,yaani mirrow cast au screen mirror?
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea na hio tv mkuu. hizo hizo za inch 32 zipo za 720p na za 1080p, zipo ambazo ni smart na zisizo smart, zinatofautiana ports na vyenginevyo.
roku ndio os sio android. imetengenezwa maalum kwa kwa ajili ya tv, haina apps kama android ila vitu basic vya tv inafanya.
kwa mazingira ya ki Africa Android ni nzuri kuliko Roku sababu sisi tunataka bure hatulipii kustream.
kama sio smart kanunue tv box itakuwa smart.
Smart inamaanisha unauwezo wa kuitumia TV kama computer kuingia mtandaoni na kupata huduma za mtandaoni pia inakuwa na apps kama facebook,youtube na web browsers.
Kifaa hicho kinaitwa TV Box, vipo vya aina nyingi ila common ni mXQ Pro Tv box. Kinauzwa kati ya 80,000 mpaka laki 1.Ni kifaa gani kinaweza kuifanya TV kuwa na apps kama azam TV nk na wapi vinapatikana..na bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifaa hicho kinaitwa TV Box
Kifaa hicho kinaitwa TV Box, vipo vya aina nyingi ila common ni mXQ Pro Tv box. Kinauzwa kati ya 80,000 mpaka laki 1.Naweza kutumia kwenye star x inch 43 yenye HDMI..au kutatakiwa kuongeza mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifaa hicho kinaitwa TV Box, vipo vya aina nyingi ila common ni mXQ Pro Tv box. Kinauzwa kati ya 80,000 mpaka laki 1.
Kifaa hicho kinaitwa TV Box, vipo vya aina nyingi ila common ni mXQ Pro Tv box. Kinauzwa kati ya 80,000 mpaka laki 1.
Ndio utaweza kukitumia kwa kuchomeka waya kwenye hdmi ports za TV yako. Hakuna la nyongeza maana kinakuja na nyaya zake, remote na mazaga mengine!
Kariakoo unaweza kipata, ila naonaga watu wengi wanapost kwenye magroup ya biashara whatsapp. Ukisearch kupatana.com pia hutakikosa, cha muhimu chukua contact za mwenye nacho muwasiliane ujue unakipataje.Umenisaidia sana bro,nitapambana kuona nakipata..wapi naweza kupata vyenye uhakika..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimani City waweza pata ila bei itakuwa mara 3 au zaidi ya hio niliokutajia.
Ziko poa kaka nipo kariakor njo nikuuzieWadau habari jamani, naomba kujua ubora wa hizi luninga za kampuni ya Star X, je zinafaa kwa matumizi ya mazingira ya kitanzania.
Wajuzi jamani naomba mnijuze katika hili.
Ziko poa kaka nipo kariakor njo nikuuzieView attachment 981360Wadau habari jamani, naomba kujua ubora wa hizi luninga za kampuni ya Star X, je zinafaa kwa matumizi ya mazingira ya kitanzania.
Wajuzi jamani naomba mnijuze katika hili.
Wakuu vip kuhusu ubora wa Tv za Soyi?