Ubora wa simu za LG

Northern Lights

JF-Expert Member
Sep 24, 2013
383
347
Psychologically nimekuwa nikifaham kuwa bidhaa za LG hasa simu ni nzuri na hazina matatizo kwa mtumiaji. Ila kwa sasa naanza kupata ukakasi sasa baada ya kupitia post za baadhi ya member humu ndani.
Nipo katka hatua ya kusoma reviews za LG Nexus 5X kabla ya kununua ili niweze kufanya informed decision.
Kwa hapa jukwaani nimeona wadau wengi wanailalamikia LG. Kama kuna mtu anatumia au ameshawahi kutumia Nexus 5x naomba anishirikishe uzoefu wake binafsi kabla sijajitungua. Natanguliza shukran.
 
Kama utanunua dukani usikubali bila 1 year WARRANTY (Maana wa napewa kutoka kwa reseller) , kama Ebay usikubali bila 1 year international warranty(au ambayo ina policy ya kumrudishua seller ukikuta tatizo). Usifanye kosa nililofanya mimi. Na pia usinunue Refurbished au used maana zinakuwa na dead pixels na matatizo mengine..

LG kwenye fridge, AC, washing machine, TV ni mzuri sana hata service centre anazo lakini kwenye simu mbovu pita.
 
mimi binafsi simu ya snapdragon 810/808 siitaki, kama hutaki s6 na meizu pro 5 (kwa simu za mwaka jana) ni bora tu usubirie simu ya sd 820 ishuke bei.
 
Pitia pia hapa pia maana sipendagi sana kufuata review za watu ndio maana napenda kusoma maoni ya users wa simu ninayotaka kuwa nayo, matatizo yake na solutions. Ndio maana napenda reddit pamoja na xda (section ya matatizo). Utapata ualisia wa battery life, speaker zikoje, display, kama kuna lag, charging speed etc.

r/nexus5x



LG Nexus 5X Forum on XDA Developers
 
Kama utanunua dukani usikubali bila 1 year WARRANTY (Maana wa napewa kutoka kwa reseller) , kama Ebay usikubali bila 1 year international warranty(au ambayo ina policy ya kumrudishua seller ukikuta tatizo). Usifanye kosa nililofanya mimi. Na pia usinunue Refurbished au used maana zinakuwa na dead pixels na matatizo mengine..

LG kwenye fridge, AC, washing machine, TV ni mzuri sana hata service centre anazo lakini kwenye simu mbovu pita.
Asante Mkuu kwa msaada.
Mi nataka ninunue mpya kutoka ebay
 
mimi binafsi simu ya snapdragon 810/808 siitaki, kama hutaki s6 na meizu pro 5 (kwa simu za mwaka jana) ni bora tu usubirie simu ya sd 820 ishuke bei.
Asante mkuu, upande wangu samsung sipendelei sana. Meizu iko vizuri ila 5.7 screen ni kubwa kwangu. I prefer 5.3 or less
 
Pia nimepitia forum ya XDA nimekuta mixed reviews, baadhi wanasema simu iko fresh, na baadhi wanasema iko slow.
Hapa itabidi nichukue maamuzi magumu tu
 
Asante mkuu, upande wangu samsung sipendelei sana. Meizu iko vizuri ila 5.7 screen ni kubwa kwangu. I prefer 5.3 or less
angalia hio budget yako then angalia simu za sd 820 kama xiaomi mi5 na oneplus 3 (wameondoa invitation)
 
One plus 3 ina tatizo ya RAM management kwa users wengi,inaonesha RAM ni 3 gigs badala ya 6gigs.
 
Pia nimepitia forum ya XDA nimekuta mixed reviews, baadhi wanasema simu iko fresh, na baadhi wanasema iko slow.
Hapa itabidi nichukue maamuzi magumu tu
Yangu ilikuwa 32gb white manufactured December.. Maana hata kwenye reddit wamekuta correlation kati ya manufacturing date na slowness wa simu plus matatizo mengine.

Ukinunua tu simu hiyo utapata updates 6 hivi moja ya Marshmallow the zitafuata security updates tokea za January hadi June.. Ukishamaliza zote hizo fanya factory reset na hutoona lag yoyote. Maana kusema ukweli sijawahi kuona lag kwenye ile simu nimecheza Need for Speed no limit, asphalt, GTA San andreas na performance ilikuwa poa.

Tena ukiinstall android N hutoamini kama android inaweza perform on par blow to blow with an iPhone.
 
Kama utanunua dukani usikubali bila 1 year WARRANTY (Maana wa napewa kutoka kwa reseller) , kama Ebay usikubali bila 1 year international warranty(au ambayo ina policy ya kumrudishua seller ukikuta tatizo). Usifanye kosa nililofanya mimi. Na pia usinunue Refurbished au used maana zinakuwa na dead pixels na matatizo mengine..

LG kwenye fridge, AC, washing machine, TV ni mzuri sana hata service centre anazo lakini kwenye simu mbovu pita.
mkuu ushawahi nunua bidhaa yoyote ebay..????
 
Ndio nilianza na vitu vidogo kama stylus 0.99, nikaja memory card then nikajitosa mazima kwenye simu.
na ukaipata bila shida yoyote ike ikiwa mpya na inafanya kaz vzurr kabsaa.. bla shida yoyote
 
na ukaipata bila shida yoyote ike ikiwa mpya na inafanya kaz vzurr kabsaa.. bla shida yoyote
Ndio, tatizo langu lilikuja baadae kama miezi 5 hivi after kununua. Ndio maana nimemshauri asikubali bila kuwa na warranty kutoka kwa seller.

Lakini ilikuja mpya bila tatizo lolote. Pia Kama simu ikija na tatizo kwa sababu malipo yalifanyika na PayPal unaweza kwanza kuongea na seller, seller akileta ujinga utafungua dispute na ukitimiza vigezo vyao utarudishiwa ela.
 
Yangu ilikuwa 32gb white manufactured December.. Maana hata kwenye reddit wamekuta correlation kati ya manufacturing date na slowness wa simu plus matatizo mengine.

Ukinunua tu simu hiyo utapata updates 6 hivi moja ya Marshmallow the zitafuata security updates tokea za January hadi June.. Ukishamaliza zote hizo fanya factory reset na hutoona lag yoyote. Maana kusema ukweli sijawahi kuona lag kwenye ile simu nimecheza Need for Speed no limit, asphalt, GTA San andreas na performance ilikuwa poa.

Tena ukiinstall android N hutoamini kama android inaweza perform on par blow to blow with an iPhone.
Mkuu umeniongezea confidence ya kuinunua hii simu. Nachoipendea hasa ni camera and clean OS.
kuna seller ana 100% +feedback na anauza simu mpya kwa bei nzuri tu ya 306$.
 
tropical_mobile on eBay
unaweza mchek huyo seller ana simu nzuri na kwa bei nzuri na ana ship worldwide pia
Huyu seller mzuri, nimependa sana hii ;

Buy with Confidence

1. 800+ Sold
2. No Carrier Logo
3. Factory Unlocked
4. Brand New
5. Sealed Box
6. No Region Lock
7.We offer 12 months Manufacturer Warranty.
8. We offer invoice for all purchases to provide as a proof purchase.
9. We offer a longest exchange policy which is 30 days than other sellers. If there is any problem, we offer immediate exchange with postage paid return label.
 
Back
Top Bottom