Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

ni kwanini tecno hazipatikani katika database ya gsmarena..huwa nikisearch kila simu top search result huwa ni GSmarena. zote hadi huawei ila nashangaa why not tecno..kwamba hazijulikani kimataifaa?

Tecno hawatambuliki kimataifa ndo maaana bidhaa zao ni huku ktk dunia ya 3.
Tecno ni kama zile simu feki za Samsung Galaxy, ila tofauti ni jina tuu.
 
Ivi mkuu kuna tecno inayouzwa milion moja kweli, binafsi hua namshangaa sana mtu anaetoa laki tano kununua techno

Elimu ilishatolewa sana humu kuwa kwa simu yoyote mediatek ikiwa ni pamoja na tecno zoote bei yake kwa vyovyote haizidi 200000,cha kushangaza wabongo wanauza tecno bei juu sijui kwa nn. Angalieni mnaibiwa
 
Nilishahama huko nipo na s5 hakuna ku stack wala ku flash wala nn jamaa ni noumer
 
Kuna mtu kadanganya humu mara ooo TECNO Mwisho wake OS 4.1 tuache uongo. tecno wana hadi 4.4.2 mfano F6. au phantom Z

Tecno Phantom Z
- Also known as Tecno A7
General Information
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 900 / 2100
4G Network No
SIM Dual mini SIM
Status Available June 2014
Body
Dimensions 144.5 x 71.9 x 7.9 mm
Keyboard Touchscreen
Colors White, Black
Cover Plastic
Display
Type IPS capacitive touchscreen with
16,000,000 colors
Size 5.2 inches, 1080 x 1920 pixels, 424
pixels per inch (PPI)
Memory And OS
Card slot No
Internal 32GB
OS Android 4.4.2 KitKat
Processors
2.0GHz octa-core Cortex-A7 CPU,
MediaTek MT6592 chipset, Mali 450-
MP4 GPU
RAM 2GB
Audio
Alert types Vibration, MP3 ringtones
LoudspeakerYes
Audio port 3.5mm jack
Connectivity
2G GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up
to 236.8 kbps
3G Up to 22.2 mbs downlink; Up to 5.76
mbs uplink
4G No
WIFI Wi-Fi 802.11 b/g/n, WIFI hotspot, Wi-
Fi direct
Bluetooth Yes
GPS A-GPS
NFC No
USB MicroUSB v2.0
Camera
Primary
16MP, up to 4608×3456-pixel
pictures, HDR, autofocus, Geo-
tagging, panorama, simultaneous
video and picture rec. camera with
LED flash
Video 1080p@30fps
Secondary 8MP, up to 3264×2448-pixel pictures
Battery
Capacity 3030mAh Li-Ion battery
Stand-by Up to 960 hours
Talk time Up to 24 hours
Music play N/a
Other Features
Sensors Accelerometer, Proximity, Compass
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML5
Java No
- SNS integration
– MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
– MP3/WAV/eAAC+/AC3/FLAC player
– Document viewer
– FM radio
– Image viewer and editor
– Voice memo/dial/command
– Predictive text input
– Preloaded apps – Gmail, Gtalk,
Google Now, Youtube, Flash Share,
Swiftkey
Price
Price level About 421 USD

CONVERT HIYO BEI IN TZS then tell me how much should be sold
 
tecno wabovu sana siku hizi simu zao hazikai chaji,hasa hizi iPod walizozileta ni mbovu sana

Sidhani kama unakielewa ulicho kiandika wewe,, ipod na tecno wapi na wapi?? Tecno walete ipod?? Ndo nasikia kwakomkwa mara ya kwanza mkuu, sijui labda kama wameuziana jina na apple.
 
Sidhani kama unakielewa ulicho kiandika wewe,, ipod na tecno wapi na wapi?? Tecno walete ipod?? Ndo nasikia kwakomkwa mara ya kwanza mkuu, sijui labda kama wameuziana jina na apple.

Nimekosea kuandika maana yangu ni iPad
 
Tecno tecno tecno, hawa hawatengenezi siku feki, ila ni substandard, kama wew si mfuatiliaji wa smart phones huwezi jua substandard ya hizi tecno smart phones, waliipigia kelele sna simu yao hii ya Tecno phantomz ( Sina uhakika na uhandishi wa jina) ila siku nlipoishika kwa 40 seconds nkasema tecno is tecno tu, no matter what they will come up with, kwa mjanja yeyote wa simu hawezi kuwa anatumia tecno hata siku moja labda kwa dharula tu(kama kaibiwa simu), wengi watumiaji wa tecno waliolidhika huwa ndiyo smart phone yao ya kwanza kutumia hivyo hawajui radha zingine
 
Nafikiri swali lake ni kwamba je kiwanda cha tecno kinatengeneza simu feki yaani kama wale wa NOKLA,SUMSANG,SUNNY. Jibu ni hapana,tecno ni kampuni reliable kabisa ya simu na inatengeneza vitu genuine.

Ata hao uliowataja sio fake.
Ni sawa na mtu ajiite snipla, ila tutafikiri tu alitaka kujiita snipa, lakini sio fake.
 
Minatumia tecno h6 kitkat unanizid nn wewe mwenye htc au sumsung

Hapo ndo mwisho wako ukitaka kuenda mbele labda uuze ununue mpya tena wakat mwenzio wa htc au samsung anaweza enda mbele ikitokea change yoyote mana anaweza pata support toka kwa manufacturer au hata ma developer wengine
 
ujanja siku hizi ni kumiliki nyumba,biashara na gari sio simu tena,wachaga huku wanatumia nokia tochi.

Ujanja nikudelete account yako ya facebook.
Hayo maneno mengine huja tu kutokana na ukosefu wa pesa.
Ungekua nazo ungeweza ata kununua simu za Lamborghini zinazouzwa mamilioni ya pesa.

Pesa sio kila kitu, ila kila kitu ni Pesa.
Be great.
 
Back
Top Bottom