dkashombo2013
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 539
- 119
Ninatumia Antuntu benchmark v3 kwa N7
Vizuri km unatumia Wntuntu sasa fungua option ya chart hapo wanakupa orodha ya sim za Android kuanzia ya juu hebu cheki km N7 yako 8naonekana au vipi
Ninatumia Antuntu benchmark v3 kwa N7
Ukiwa unamu-address mtu usitumie neno "wewe" huo sio ustaarabu. Nielewe,sizungumzii mambo ya quality na vitu kama Insta Video..sio wote tuko huko,sina Instagram na sihitaji kuwa nayo,nazungumzia apps za kawaida ambazo nimesema ni commonly used kwa watu.
Watu wazima hawabishani wanaeleweshana..usiwe unatumia maneno ya namna hii kwa watu usiojuana nao.
Vizuri km unatumia Wntuntu sasa fungua option ya chart hapo wanakupa orodha ya sim za Android kuanzia ya juu hebu cheki km N7 yako 8naonekana au vipi
... mimi kwenye Nokia 3310 siambiwi lolote. Milio bomba, alarm, sms safi, buttons zimetulia, antenna ndani kwa ndani. Nyie endeleeni kujadili.
Umeona eeh?Luna kitu Techno phantom A(F7),kiko mtaani kinauzwa laki tano mpaka laki sita kutegemeana na maali,hicho kitu balaa.
ukiwa unamu-address mtu usitumie neno "wewe" huo sio ustaarabu. Nielewe,sizungumzii mambo ya quality na vitu kama insta video..sio wote tuko huko,sina instagram na sihitaji kuwa nayo,nazungumzia apps za kawaida ambazo nimesema ni commonly used kwa watu.
Watu wazima hawabishani wanaeleweshana..usiwe unatumia maneno ya namna hii kwa watu usiojuana nao.
Kabisa mkuu.. Kuna watu wanaongea vtu vya ajabu sana...
Mimi napata mawasiliano yoote ninayo yahitaji,
Kuangalia movie Youtube
GPS,WI-FI,WCDMA ina 3G na 4G.Full Kudownload Movie..
Naangalia live,skysport ..
Tango,Istagram,Skype,navyoote vya umuhimu kwa hii Phantom ya Android 4.2.2
Ipi tofauti na S3 ama S4?
Mkuu jaribu kucheki bar chart yako maana ktk orodha hiyo kitu yako sijaona!Bar chat iko hivi..toka juu
1.S4
2,HTC one
3,SonyEricson Experia 7
4,Google Nexus 4
5,S,Note
6,S3
7,Google Nexus 10
8,Google Nexus 7
9,Asus Transformer Prime
10,S Note
11,S3
12,S Nexus
13My Device 6147 N7
Kabisa mkuu.. Kuna watu wanaongea vtu vya ajabu sana...
Mimi napata mawasiliano yoote ninayo yahitaji,
Kuangalia movie Youtube
GPS,WI-FI,WCDMA ina 3G na 4G.Full Kudownload Movie..
Naangalia live,skysport ..
Tango,Istagram,Skype,navyoote vya umuhimu kwa hii Phantom ya Android 4.2.2
Ipi tofauti na S3 ama S4?
Fake zote ni low quality lakini siyo low quality zote ni fake.simu za mchina zenye kiwango ni HTC na huaweimkuu
tecno sio fake ni low quality phones.
simu fake ni ipi na low quality ni ipi?
fake ni ile ambayo inapromise kitu ambacho haina. mfano umeandikiwa icon ya wifi then ukiclick ni bluetooth, ina app ya fb ukiclick wanakupeleka kwenye browser ya kichina, imeandikwa kwenye box ni hd wakati kioo ni 128x128
tecno ni low quality vitu vyote inavyo wifi, 3g, android na kila kitu sema vipo vya low quality. mfano kwenye simu zake wanatumia vioo vya tft ambavyo havina gorila glass (vioo vigumu). wanatumia resolution ndogo (240x320, 320x480) processor ndogo, ram ndogo.
hope umeelewa
Bar chat iko hivi..toka juu
1.S4
2,HTC one
3,SonyEricson Experia 7
4,Google Nexus 4
5,S,Note
6,S3
7,Google Nexus 10
8,Google Nexus 7
9,Asus Transformer Prime
10,S Note
11,S3
12,S Nexus
13My Device 6147 N7
Ndugu zangu, mimi naona hapo kitu kikubwa ni kipato i.e Fedha.
Kwa kweli tukiangalia kipato cha watanzania wengi takriban 80%, Tecno ni Mkombozi ambaye angalau ameweza kuwatoa watu Matongotongo ya Java na kuwanawisha maji ya Android.
Kwa mtazamo wangu, ISINGEKUWA UJIO WA TECNO NA KUWAONESHA WAAFRIKA HUSUSANI WATANZANIA MAMBO YA ANDROID/SMARTPHONE BASI HIZO SMARTPHONE ZA SAMSUNG WANGETUMIA AKINA Chief Mkwawa tu na anaofanana nao kwani bidhaa za Samsung gharama zake ziko juu ambazo si watanzania wote wanaweza kumudu. Lakini Tecno ana gharama nafuu ingawa ni low Quality.
Ni ukweli usiopingika kwamba Tecno hawezi KUFANANA na Samsung ila Wataishia KURANDANA tu.