Ubaguzi wa walimu wasio wazawa washamiri idara ya elimu sekondari Bukoba.

Feb 8, 2012
92
8
Hawa wakuu wa shule wakishirikiana na afisa elimu sekondari pamoja na afisa taaluma wa manispaa ya Bukoba wanatumia vibaya ofisi ya serikali kwa kuwabagua walimu wasio wazawa wa Bukoba.Kila mwaka wanawapeleka walimu wanaotoka nao sehemu moja kusimamia mitihani ya kitaifa huku wakiwaacha walimu wasio wazawa wa Bukoba ingawa nao wana sifa.Huyu afisa elimu ana marafiki zake wanaosoma open university pamoja ambao kila mwaka lazima awapeleke kusimamia mitihani au semina ya masomo wanayofundisha.Halikadhalika hata katika shule ya sekondari Kahororo ubaguzi wa kikabila umeshika chati.Mkuu wa shule anawabagua walimu wasio wazawa wazi wazi.
 
tuache utani ktk mikoa ambayo bado yana ubaguzi wa makabila ni kgr kama we c muhaya hata mazingira ya kazi yanakuwa magumu sana,kwani ofisi nyingi wana2mia kihaya kama lugha rasmi!na hata wao kwa wao tena wakikutana wanaanza kubaguana mala huyu wa kamachumu,huyu wa karagwe,ni tabu tu.
 
Ee bwana unaongea ukweli mtupu.Umeshawahi kuishi Bk nini?wenyewe kwa wenyewe wanabaguana.Mhaya wa Kiziba anambagua Mhaya wa Maruku.Mhaya wa Maruku vile vile anambagua mhaya wa Muleba nk.Huu ndo mchongo wao.
 
BK ubaguzi kama samaki na maji.Sisi ambao si wazawa hata tukienda dukani au sokoni tunapandishiwa bei bidhaa kwa kuwa ni wakuja.
 
wanagonga kilugha ofisini kwa D.O sasa ofisi nyingine ambazo si za serikali au zilizo chini yake zinafanyaje?
 
Nakumbuka aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa Kagera Kanari MFURU aliwahi kupiga marufuku kuongea kihaya ktk ofisi za serikari Bukoba. Jitihada zinahitajikakukomesha tabia hii kwani kwa Bukoba imezidi.
 
Ee bwana unaongea ukweli mtupu.Umeshawahi kuishi Bk nini?wenyewe kwa wenyewe wanabaguana.Mhaya wa Kiziba anambagua Mhaya wa Maruku.Mhaya wa Maruku vile vile anambagua mhaya wa Muleba nk.Huu ndo mchongo wao.
mi nimeishi sana pale,na kusoma,ilifikia kipindi mwalimu anafundisha kwa kutumia kihaya!ukiuliza kulikoni anakwambia shauri yako!hospital ya serikari ndio usiseme,mtaani mtu anakusalimia kihaya ukisema hujui anakuona unafanya makusudi!hawa wa2 we waone hivyo wakiwa mikoani lakini kwao hawana maana,cha ajabu mnaweza kuwa kwenye shughuli fulani mgeni rasmi anatumia kihaya kuhutubia wageni waalikwa!mi siku moja nilipanda gari kwenda omurushaka,nikawahi kiti cha mbele hee tunafika rwamishenye gari inasimama mzee mmoja anapanda naambiwa nimpishe eti hiyo huwa ni sit yake!kila anaposafiri!ckukubali gari zima wakaanza kunishambulia kwa kuwa mi c muhaya,mbona tulienda hadi polisi,bahati nzuri polisi hakuwa ni muhaya,akawaambia nyie achani ujinga,hizi daladala huwa hazina sit number(tiket)mtu anapowahi ndio kwake.ila mpaka nafika cha moto nilikiona!
 
Pole sana Wizard kwa yaliyokukuta.Hata mimi nimeexperience the same thing.Nilitaka kukaa kwenye siti ya daladala nikaambiwa hii siti ina mtu.Kweli huku kihaya everywhere.
 
Hamjafanyakazi Ntwara nyie.....
Tembeeeni muone huko Halmashauri kulivyo na ubaguzi ndio mtaona Wahaya sio peke yao ktk hilo saga.
 
mi nimeishi sana pale,na kusoma,ilifikia kipindi mwalimu anafundisha kwa kutumia kihaya!ukiuliza kulikoni anakwambia shauri yako!hospital ya serikari ndio usiseme,mtaani mtu anakusalimia kihaya ukisema hujui anakuona unafanya makusudi!hawa wa2 we waone hivyo wakiwa mikoani lakini kwao hawana maana,cha ajabu mnaweza kuwa kwenye shughuli fulani mgeni rasmi anatumia kihaya kuhutubia wageni waalikwa!mi siku moja nilipanda gari kwenda omurushaka,nikawahi kiti cha mbele hee tunafika rwamishenye gari inasimama mzee mmoja anapanda naambiwa nimpishe eti hiyo huwa ni sit yake!kila anaposafiri!ckukubali gari zima wakaanza kunishambulia kwa kuwa mi c muhaya,mbona tulienda hadi polisi,bahati nzuri polisi hakuwa ni muhaya,akawaambia nyie achani ujinga,hizi daladala huwa hazina sit number(tiket)mtu anapowahi ndio kwake.ila mpaka nafika cha moto nilikiona!
nimependa hiyo ya kutokupisha kiti nimeunga hoja yaani nikupishe kiti kizembe hivo eti siti yako siununue gari yako
 
Nimeamini hata usome vipi ujinga wa asili haukutoki. Tanzania ubaguzi upo wa aina yake kila eneo, kazini, serkalini, mashuleni na hata mtaani, ukiachilia mbali level zetu za kiuchumi na elimu hutubagua pia, lakini WAHAYA!! its too much!
Kwakweli mahala popote walipo utaona tu wanavyojiweka kuwa bora.
 
Mwafaaaaaaaaaa!
Pole mwalimu kwa kukosa chance ya kusimamia mtihani, kama hizo tuhuma ni za kweli basi hao wakuu waonywe waache ukabila.
N.B. uache falacy of generalization.
 
KUNA MMOJA TUKO NAE KITENGO FLANI PRIVATE MBISHI YANI YEYE MECHANICAL YAKE KASOME U.K HUKO YA MAKARATASI ANABISHANA NA ELECTRICAL ENGINEER BISIBISI NDO MAISHA YANGU NA OVAROLI SIKU NILITAKA NIMKATE KIBAO ILA NKAMKAUSHIA TU... AFU ANAPENDA KULA UBUYU YANI KILA KITU ANAJUA YEYE TU..
 
Back
Top Bottom