Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Mimi nina kaushauri kadogo sana....huko ulipoenda kuna maufisadi ya kufa mtu na wao kwao wanarukana na kukanyagana.....ibuo yoyote utoke nayo, kuna Kagoda, EPA, meremeta, RICHMOND n.k. Hebu onyesha upambanaji wako kwa kuanza na hayo.