Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Mwamtela ulipohamia CCM umejiondolea haki ya kuuliza ni katiba ipi inaruhusu VIONGOZI wa CHADEMA kujikopesha fedha za chama kwa sababu haya ni mambo ya ndani ya chama!
CHADEMA wamewahi kuuliza ni vipi CCM inatumia mamilion ya pesa kuwapa nyie kuzunguka mitaani kutukana upinzani ili hali hapa Kyela ofisi ya CCM kata ya Ipinda haina madirisha wala milango?Matumizi ya mabilion ya ruzuku ya CCM inafawanufaisha mbona nyie tu sio wanachama wa chini!Nani kaingilia?
CHADEMA imewahi wauliza CCM kwa nn ofisi kuu ya CCM Wilaya ya Kyela HAINA CHOO ili hali inawapa ww na Shonza mamilion ya pesa kuisema vibaya CHADEMA?
Njaa ikiingia akilini inaleta .u.zu.z.u
CHADEMA wamewahi kuuliza ni vipi CCM inatumia mamilion ya pesa kuwapa nyie kuzunguka mitaani kutukana upinzani ili hali hapa Kyela ofisi ya CCM kata ya Ipinda haina madirisha wala milango?Matumizi ya mabilion ya ruzuku ya CCM inafawanufaisha mbona nyie tu sio wanachama wa chini!Nani kaingilia?
CHADEMA imewahi wauliza CCM kwa nn ofisi kuu ya CCM Wilaya ya Kyela HAINA CHOO ili hali inawapa ww na Shonza mamilion ya pesa kuisema vibaya CHADEMA?
Njaa ikiingia akilini inaleta .u.zu.z.u