BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
| ||
|
| ||
|
Ndani ya CCM wamo hao? (rangi nyekundu)Habari za kuaminika zimebainisha kuwa, uhasama mkubwa umezikumba kambi mbili kubwa za wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM, wale wa mtandao unaoaminika kukubalika na mmoja wa viongozi wa juu wa chama hicho, na ule unaojinasibu kuwa ni wapambanaji wa ufisadi.
Ndani ya CCM wamo hao? (rangi nyekundu)
Hizi ni sarakasi tu za wanasiasa wachumia tumbo. Anaweka mkwara ili asikoseshwe ulaji.
Mpambanaji mwenyewe ni sita eti!Ndani ya CCM wamo hao? (rangi nyekundu)
Hizi ni sarakasi tu za wanasiasa wachumia tumbo. Anaweka mkwara ili asikoseshwe ulaji.
Sasa hivi tunasubiri mazishi tu ya magamba ili wapotee kabisa katika anga za siasa Tanzania
Ndani ya CCM wamo hao? (rangi nyekundu)
Hizi ni sarakasi tu za wanasiasa wachumia tumbo. Anaweka mkwara ili asikoseshwe ulaji.
wewe inaonekana umekua juzi, sisi tulisoma vikao vyote vya ccm kuanzia tawi hadi taifa tena tukiwa primary, wakati huo bila kuwajua wajumbe wa vikao vya ccm basi somo la siasa unafeli.NEC huwa ina wajumbe wangapi na wamegawanyikaje, kimikoa au majimbo?