KV LONDON
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 903
- 241
CCM kuna viongoz wa ajabu sana, kwenye uchaguzi mkuu huwa wanaungana wote kuchakachua kura za wapinzani ila kwenye chaguzi za ndani ya chama huwa hawaangaliani usoni kabisa kila mtu na nafasi yake' utaskia huyu katishia huku, huyu kabeba bastola anataka kumuua mwenzake mara huyu kahama chama au anataka kuanzisha chama chake baada ya kuchezewa mchezo mchafu, wao huwa wanadai ni upepo tu utapita.