Hawa nao siwakae kimya nadhani kuna watu wanawapa kiburi hawa jamaa.Au wameamua kuwakana wenzao
Hivi sasa Uamsho wanaendelea na Press Conference wakijibu hoja za Dk. Shein za jana. Stay tune!!!
Jussa ndie main sponsor wao!!..kama hamuamini Time will tell..i used to chat with their "Youth" leader..ni cuf hao hawana lolote..!!
jussa ndie main sponsor wao!!..kama hamuamini time will tell..i used to chat with their "youth" leader..ni cuf hao hawana lolote..!!
wewe una mengi tuangushie hata matusi wewe ni mtaalamu
Hao Iran ndio wanaotaka kumiliki nuclear? They are cowerds full of hatred to every 1,sasa hawa wenzetu kwa ulimbukeni wao wanathani ndo watapata misaada zaidi kwa kupenda vya bure..Dhambi hizi wanazoendekeza zitawatafuna wao na watoto wao.Wanapata msaada pia kutoka katika Serikali ya Kiisalamu ya Irani na ndio maana Makamu wa Raisi wa Irani alivyokuja kwa Ziara na kuonana na Makamu wa Rais wa URT Dr.Mikasi walikuwa wanamuonyesha tajiri wao kuwa misaada yao wanaitumia vizuri na kuhamasisha fujo na akina mama wakibeba mabango yaliyoandikwa Kiarabu badala ya kiswahili na vitambaa vyeusi kama hizborah kundi linalofadhiliwa na Irani kule Lebanoni.Akili ku mkichwa wandugu.
Wanapata msaada pia kutoka katika Serikali ya Kiisalamu ya Irani na ndio maana Makamu wa Raisi wa Irani alivyokuja kwa Ziara na kuonana na Makamu wa Rais wa URT Dr.Mikasi walikuwa wanamuonyesha tajiri wao kuwa misaada yao wanaitumia vizuri na kuhamasisha fujo na akina mama wakibeba mabango yaliyoandikwa Kiarabu badala ya kiswahili na vitambaa vyeusi kama hizborah kundi linalofadhiliwa na Irani kule Lebanoni.Akili ku mkichwa wandugu.
Wanapata msaada pia kutoka katika Serikali ya Kiisalamu ya Irani na ndio maana Makamu wa Raisi wa Irani alivyokuja kwa Ziara na kuonana na Makamu wa Rais wa URT Dr.Mikasi walikuwa wanamuonyesha tajiri wao kuwa misaada yao wanaitumia vizuri na kuhamasisha fujo na akina mama wakibeba mabango yaliyoandikwa Kiarabu badala ya kiswahili na vitambaa vyeusi kama hizborah kundi linalofadhiliwa na Irani kule Lebanoni.Akili ku mkichwa wandugu.
Hivi sasa Uamsho wanaendelea na Press Conference wakijibu hoja za Dk. Shein za jana. Stay tune!!!
Hivi sasa Uamsho wanaendelea na Press Conference wakijibu hoja za Dk. Shein za jana. Stay tune!!!