Hii nchi ilikuwaje ikawa ya kiislamu? sijui historia yake vizuri hebu nijuzeni wajuvi
WANAOGOPA NINI??NDIO MIPEMBA ILIVYO INAOGOPA MOSHI ILHALI HAIJAONA MOTO,KOMAAENI N UHAINI WENU,RAHA YA KULA NYAMA YA MTU SI MNAIJUA,MKIMALIZA MUUNGANO MUANZE SISI WAPEMBA NA WALE WA UNGUJA
hahahaaaaaaaaaaa
M4C ITAKUJA KISIWANDUI SOON
Mbona wameanza kwa kigreza afu wakaandika kwa kiswahili na wao dini yao ni ya waarabu?
Afadhali kiwe chama cha siasa kiendeshe siasa kuliko kujificha nyuma ya dini. Nakubali kipewe usajili wa muda immediately; na wazanzibari wakikubali agenda yao, wakichague kiongoze nchi na kikikubalika hata Tanganyika basi kiongoze Tanzania nzima; hizo ndizo siasa.nawapenda sana uamsho natamani wageuze kiwe chama cha kisiasa kama kile muslim brother hood ambao soon watachukuwa nchi kwa njia ya democrasia ... watu watabwabwaja lakini ndio chaguo la wanzanzibar walio wengi..
Dini ya Uislamu si ya waarabu ni ya watu wote ambao kwa hiyari yao wameamua kufuata dini ya haki ambayo ALLAH S.W ameichagua yeye. Wapo wa Naigeria waislamu,wapo wazungu waislamu wapo wachina waislamu.................
Dhumuni ni kueleweka kirahisi nini wanataka kusema kwa umma na sio ku create language barrier.