Mbeba Maono
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 108
- 7
Hivi jamani, naombeni mnieleweshe, Tanzania na Uganda, tunaingia University tukiwa form six, lakini Kenya wanaingia university wakiwa form four? Kuna usawa hapo? Kwanini system ya education in East Africa isiwe moja ili kuwe ne muingiliano wa wanafunzi? you know, kwamfano kwasaba, utakuwa wanafunzi wengi sana wa uganda wamejaa Tumaini university na Dar,lakini wakenya hawapo labda kwa Masters,ila sio undergraduate. tatizo ni kwamba, they don't qualify to be admitted here with a form four education. Kama kweli kuna malengo ya kuweka east Africa community au federation wanayosema, basi, kuna umuhimu haya mambo yaanze kushughulikiwa mapema.
hata hivyo, haiwezekani mtu aliyetoka chuo kikuu cha Nairobi awe sawa na aliyetoka chuo kikuu cha Kampala/makerere au Dar es salaam, kwasababu mmoja aliingia akiwa form four, wakati mwingine aliingia akiwa form six. mmojawapo hapo ataonekana ana quality nzuri zaidi kuliko yule wa Kenya? je hapo kuna ukweli wowote? kama sielewi kwa kuongea hivi, hebu mwenye uelewa anieleweshe basi.
hata hivyo, haiwezekani mtu aliyetoka chuo kikuu cha Nairobi awe sawa na aliyetoka chuo kikuu cha Kampala/makerere au Dar es salaam, kwasababu mmoja aliingia akiwa form four, wakati mwingine aliingia akiwa form six. mmojawapo hapo ataonekana ana quality nzuri zaidi kuliko yule wa Kenya? je hapo kuna ukweli wowote? kama sielewi kwa kuongea hivi, hebu mwenye uelewa anieleweshe basi.