Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kule kwa Michuzi naona hawa watotio wamwvishwa T-shirt za JK wakiwa ziarani pamoja na amtron wao Rahma Al-Kharoos....hii ni sawa jameni?
Haya tuufunge mjadala sasa......vote for him
Rahma Al-Kharoos huyu mdada anasubiri ubunge wa kuteuliwa na raisi maana kwenye kura za maoni sikumsikia.
Bila kuwa biased, tishirt hizo hazikustaili kuvaliwa kwa safari ya nje ya nchi. kombe la dunia lilikuwa linakaribishwa TZ sasa inahusika vipi na safari ya USA??? Ni umbumbumbu wa waandaaji vazi la wasichana hao tu.
Bora wangevaa T-shirt zikimuonesha rais na mambo mengine ya kwetu ambayo hata siku wageni hao wa huko wakitaka kujaa Bongoland basi watarajie kuyaona lakini si vinginevyo.
Rahma Al-Kharoos huyu mdada anasubiri ubunge wa kuteuliwa na raisi maana kwenye kura za maoni sikumsikia.