Twiga Stars wamnadi JK Washington

Inaelekea mambo ndio hayo mkuu ; huyu bibie anaweza kuwa mbunge wa Ikulu kwani hata mgodi wa dhahabu nasikia kisha pewa kule Singida, kwa hiyo mambo unayosema yanawezekana kabisa; Bingu WA Muthalika huko Malawi na Museveni wamekwisha onesha njia ya wamama kuwa ndani ya Cabinet!!


Mgodi Singida? mgodi gani?sehemu gani Singida? Nijuze ndugu yangu.
 
Mimi nilistuka sana na habari ile......nikaogopa maana hawa mapatrons/matrons/wafadhili siwaamini kabisa
 
Hivi hii timu haina official attire kwa mambo kama haya? Sijui hayo maneno kwenye hizo tisheti yanasomekaje?

kudos to Twiga star kwa kuwakilisha!Kazeni buti sana mkifika Bondeni na msirudie kupigwa 6 kwa tahiri na wajukuu wa madiba.

Twiga Stars Visit the Washington Capitol

ngx4ep.jpg

The Twiga Stars pose with Washington's governor, Christine Gregoire.


dxz19k.jpg
The players pose with George Washington Statue!
ml3sxc.jpg


Twiga Stars matron Rahma Al-Kharoosi rubs George Washington's Statue and wishes for her girls to make it
to the World Cup.


2ut6oph.jpg


Photo of outside of the State Capitol


By Nisha Ligon

Today the Twiga Stars, Tanzania's national women's football team, visited the Washington State Capitol, where they were received by Governor Christine Gregoire. The Twiga Stars, who were brought to Washington State for a training tour by Rahma Al-Kharoosi, president of RBP Oil and Industrial Technologies, got the chance to learn about state legislative procedure, sing a Tanzanian song for their hosts, and to speak to the Governor herself.

She wished them the best of luck and told the Tanzania ladies that she has a special interest in women's football as both of her daughters are footballers. Ms. Al-Kharoosi thanked the Governor for taking the time to speak to them, and added that it was inspiring for the girls to meet such an accomplished woman who has shown "yes we can.

" A special tradition at the Washington Legislative Building is to make a wish while rubbing the nose of a George Washington bust. The Twiga players each took a rub and wished to make it to the Women's World Cup (to be held in Germany in summer 2011).

The Twiga Stars have been training in Washington since August 2, and are preparing for the African Women's Championship to be held in South Africa this October. The top two teams from the African Championship will proceed to the Women's World Cup in Germany.

The Twiga Stars have shown they're ready for the competition by posting a number of impressive performances here in Washington, including a 4-0 victory over Dos FC last night. Asha "Mwalala" Rashid scored 2 goals, while Mwanahamis Omary and Fatuma "Kitunini" Mustapha each scored one.

Ms. Al-Kharoosi said she's very happy with the teams performance and is confident that they are gaining the experience they need to succeed in the continental championship this

Source: Michuzi​
 
Inaelekea mambo ndio hayo mkuu ; huyu bibie anaweza kuwa mbunge wa Ikulu kwani hata mgodi wa dhahabu nasikia kisha pewa kule Singida, kwa hiyo mambo unayosema yanawezekana kabisa; Bingu WA Muthalika huko Malawi na Museveni wamekwisha onesha njia ya wamama kuwa ndani ya Cabinet!!
Umbeya huo otherwise tupe source kwenye red
 
Angeweka picha ya Slaa na bendera ya chadema.


Wangewaza weka picha za mlima Kilimanjaro ana kakakuona ingekuwa ni vivutio vya utalii na tungejua ni wabunifu! Sasa hapo wajanja tunajua wanajipendekeza tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom