the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,101
- 350
nikawa naangalia mpira juzi ijumaa,nikaona tv yangu inatoa moshi mkubwa kupitia matundu yake pembeni.nikazima haraka,kufuatilia tatizo nikagundua kwenye transformer tunayotumia, neutral ikawa imekatika ina maana voltage ilikuja kubwa.
niliiwasha kesho yake ikawa ina behave vibaya picha imeharibika inacheza kama mawimbi ya maji inaenda kushoto na kulia,pia kuna mistar inapita chini kwenda juu na muungurumo kwenye spika.
nauliza kitu gani kimepata tatizo,ni HITACHI CRT flat mbele.msaada wakuu.
niliiwasha kesho yake ikawa ina behave vibaya picha imeharibika inacheza kama mawimbi ya maji inaenda kushoto na kulia,pia kuna mistar inapita chini kwenda juu na muungurumo kwenye spika.
nauliza kitu gani kimepata tatizo,ni HITACHI CRT flat mbele.msaada wakuu.