Mnwele
Senior Member
- Feb 4, 2010
- 162
- 100
Kufuatia kutoridhika kwa sehemu kubwa ya wadau wa Habari na Burudani hapa JF kuhusu tuzo hizi. Nimemtafuta Masoud na hapa anafunguka:
Hahahaha, hao mimi nahisi hawaelewi maana ya tuzo, you dnt apply for tuzo, kina messi na drogba huwa hawa-apply for tuzo za uanamichezo bora, wala hawapeleki clips za mechi walizocheza vizuri. Tuzo unapewa baada ya kutazamwa na wako. You don't apply.
For 2 yrs wamekuwa wakiniomba nipeleke katuni nawaambia siwezi kuleta katuni zangu kwa ajili ya tuzo, naweza kupeleka katuni kama ni competition. Ukiweza posti hiyo comment yangu kwa jf.
Source:text message from Kipanya
Hahahaha, hao mimi nahisi hawaelewi maana ya tuzo, you dnt apply for tuzo, kina messi na drogba huwa hawa-apply for tuzo za uanamichezo bora, wala hawapeleki clips za mechi walizocheza vizuri. Tuzo unapewa baada ya kutazamwa na wako. You don't apply.
For 2 yrs wamekuwa wakiniomba nipeleke katuni nawaambia siwezi kuleta katuni zangu kwa ajili ya tuzo, naweza kupeleka katuni kama ni competition. Ukiweza posti hiyo comment yangu kwa jf.
Source:text message from Kipanya