mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Huyu Kipanya ni mtaalam fufutende mwenye akili tambuzi iliyotuama hasa, ameona huo ujinga unaoendelea. Tunamshukuru kwa kutufumbua macho na kuweza kuona kwa uwazi hayo mapungufu. Tunzo tumekupa mkuu ingawa hatutambuliki kitaifa.