Tuwe wakweli, spirit ya Yanga ya kusawazisha na kushinda haipo Simba

Leo si mara ya kwanza kwa Yanga kusawazisha na kushinda. Tena kwenye mechi zenye tension kubwa. Waliwahi kufanya hivyo kwa Coastal Union kwenye Azam Confederation Cup.

Yanga wakarudia tena katika mchezo na Azam (wa pili kabla ya huu wa leo). Na leo tena wamerudia hilo jambo. Kupambana kusawazisha na kushinda.

Simba wanakosa hiyo spirit. Hata wanaposawazisha huishia kwenye sare. Kama kwa Al Ahly. Simba wanakosa mapambano wakiwa uwanjani.

Ni wepesi kukata tamaa au kuogopa. Simba inapaswa kujifunza jambo kwa Yanga. Kucheza ki-father hakutaifikisha kokote.

Simba hawako kama Yanga. Hata wanachama na washabiki wanajua hilo. Wao wamezoea mpira papatupapatu kama rugby tu.
Simba haina cha kujifunza kwa Yanga ambapo Yanga ina cha kujifunza kwa Ihefu kwani walisawazishiwa na kuongezewa
 
Hiyo Spirit ilikua wapi siku mnatiwa mimba na Ihefu kwenye majaruba ya mpunga 🤔🤔
 
UNAONGELEA MWANAUME SIMBA YUPO MISRI KUWAKILISHA TAIFA.

WEWE UNAPIGA KELELE CHAMAZI

CHENZALA
 
Leo si mara ya kwanza kwa Yanga kusawazisha na kushinda. Tena kwenye mechi zenye tension kubwa. Waliwahi kufanya hivyo kwa Coastal Union kwenye Azam Confederation Cup.

Yanga wakarudia tena katika mchezo na Azam (wa pili kabla ya huu wa leo). Na leo tena wamerudia hilo jambo. Kupambana kusawazisha na kushinda.

Simba wanakosa hiyo spirit. Hata wanaposawazisha huishia kwenye sare. Kama kwa Al Ahly. Simba wanakosa mapambano wakiwa uwanjani.

Ni wepesi kukata tamaa au kuogopa. Simba inapaswa kujifunza jambo kwa Yanga. Kucheza ki-father hakutaifikisha kokote.

Simba hawako kama Yanga. Hata wanachama na washabiki wanajua hilo. Wao wamezoea mpira papatupapatu kama rugby tu.
Katika mech dhid ya ?. kwa Ihef?
 
Back
Top Bottom