ni kweli mbu unalosema nafikiri wanaume wengi wana aibu kueleza wamepigwa/wamedhalilishwa na wake zao lakini kuna wanaume wanashuhudia joto ya jiwe na si utani.
ivi mbu matatizo yenu huwa mnayapeleka wapi?[/QUOTE]
Hapo kwenye Red hata mie huwa najiulizaga sana sipati jibu.Asante Chauro kwa kuuliza :hand:
ni kweli mbu unalosema nafikiri wanaume wengi wana aibu kueleza wamepigwa/wamedhalilishwa na wake zao lakini kuna wanaume wanashuhudia joto ya jiwe na si utani.
ivi mbu matatizo yenu huwa mnayapeleka wapi?
Ohooo, Chauro sasa nini na wewe?
..I HAVE ONLY ONE WIFE, halafu sina problem wala malalamiko YOYOTE kuhusu MY WIFE WANGU...:A S-frusty2:
sio kweli bana ndo maana mnakufa mapema mnatuacha na mzigo mzito wa kulea familia huoni kuna haja kidogo na nyie kulilia haki zenu kuliko kuendelea kuchoma maini yenu bila sababu
ni kweli mbu unalosema nafikiri wanaume wengi wana aibu kueleza wamepigwa/wamedhalilishwa na wake zao lakini kuna wanaume wanashuhudia joto ya jiwe na si utani.
ivi mbu matatizo yenu huwa mnayapeleka wapi?
ni kweli mbu unalosema nafikiri wanaume wengi wana aibu kueleza wamepigwa/wamedhalilishwa na wake zao lakini kuna wanaume wanashuhudia joto ya jiwe na si utani.
ivi mbu matatizo yenu huwa mnayapeleka wapi?
I agree it should be reported.....:lol::lol::washing:
...ngoja niwa beep kina MTM, BAK, Aspirin, Klorokwini, Teamo na wengineo waje watoe kauzoefu hapa.
Naamini watajielezea kwa ufasaha zaidi wapi tupelekapo haya malalamiko.
'Fingers Crossed,' I hope none will mention Nyumba ndogo!
Mheshimiwa Mbu,
Katika hali ya kawaida ni aibu kwa mwanaume kudundwa na mwanamke... Na kudundwa huku nakosemea hapa ni yale mashambulio ya kimwili. Mwanamke ujanja wake ni "kumdunda" mwanaume kwa maneno.....piga kelele utakavyo lakini usinyooshe mkono kupiga mwanaume. Itakuwa vita.
Ili kukwepa kadhia hii ni kujihadhari tusidundwe. Either dudunde au tuepuke kudundwa..... Kwa wale vijana ambao hawajaingia kwenye mahusiano ya kudumu nawashauri kabla hawajaoa waangalie misuli ya wanawake wanaotaka kuwaoa. Mi mwanangu wa kiume akija nyumbani analia kadundwa na mkewe, nami namwongezea makwenzi kadhaa!
gud moning fellow tablet.
hapo red sio aibu tu bali hata mungu ametuita vichwa vya familia ili ikibidi turushe vichwa. sasa kichwa inakuwaje kiwekwe kibano na shingo bana. kwa ufupi mwanaume ukitwangwa na mwanamke inabidi ukafungue duka la kuuza kanga tu hakuna shuhuli nyengine itakayokufaa.
mbona unakwenda offu topik, Mbu atakudunda wewe! twende kule chit chat basi nimemiss kuquote post zako kweli aisee.Wadundwaji utawajua tu!
Hehehe wala sijaenda ofutopiki!Nimeonyesha wapigwaji wanavyokua nje ya ulingo! Mmh hata sijui mnaongelea nini kule!Tangulia nikufuate basi!mbona unakwenda offu topik, Mbu atakudunda wewe! twende kule chit chat basi nimemiss kuquote post zako kweli aisee.