Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,134
Nakubaliana na wewe Lizzy 100%
Tumewaacha watoto na kuwafanya yatima wakati tuko hai
Kwa kisingizio cha kutafuta pesa
Dah; nikisikia maneno haya naguswa moyo wangu wa ndani
Ni kweli watoto ni wawazi sana kwa wazazi wao
Hasa mama zao
Unapompa mtoto muda wa kuongea na wewe
Huwa hasahau yalotokea hata miezi sita ilopita.
Kweli tuwape watoto muda wa kuongea nao
Mtoa mada, Big up kwa kutukumbusha.
Tumewaacha watoto na kuwafanya yatima wakati tuko hai
Kwa kisingizio cha kutafuta pesa
Dah; nikisikia maneno haya naguswa moyo wangu wa ndani
Ni kweli watoto ni wawazi sana kwa wazazi wao
Hasa mama zao
Unapompa mtoto muda wa kuongea na wewe
Huwa hasahau yalotokea hata miezi sita ilopita.
Kweli tuwape watoto muda wa kuongea nao
Mtoa mada, Big up kwa kutukumbusha.
Asante kwa uzi mzuri CM.
Nnachoweza kuongezea ni wazazi wajenge tabia na mazoea ya kuongea na watoto wao kujua hua wanafanya nini na nani wao wakiwa hawapo, wakiwa wanacheza nje, wakiwa shule n.k . Kwasababu pedofiles sio lazima wawe karibu kiasi cha kushea chumba. Hata walimu, majirani, wavulana wengine mitaani wanaweza wakafanya hayo.