Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,724
- 9,176
hahah Hus,please naomba unielewe,ukija kwangu sitakulaza sebuleni shoga yangu,utalala chumbani kwenye kitanda nilichokitandika vizuri kabisa,watoto wangu ndio watalala sebuleni,inategemeana na nyumba yangu ilivyo,wanaweza watoto wangu wote wakalala chumba kimoja wewe ukalala na dada yao wa kazi.
Pia kumjengea mtoto keresist majaaribu kweli ni nzuri zaidi hata ya hiyo wa kuwatenga lakini sio kila umri mtoto anaweza kuelewa unachomfundisha,watoto wengine ni wakubwa lkn ni slow learnars kwa mfano.Kuwafundisha wakabiliane na majaribu hata ukiwa haupo ni nzuri na inatupasa kufanya hivyo lkn ikiwezekana pia kuwaweka mbali na hatari why not.
hahahaha! Cheusie hata kama mimi nitalala chumbani kiukweli nitaumia sana kuona watoto wanalala sebuleni kwasababu mimi ndio nitakuwa nimeharibu utaratibu. Inawezekana nikang'ang'ania kulala nao au mimi ndio nikalala sebleni. Baada ya hapo nitakuwa nikija kwako silali. Lol.