Elimu kutolewa bure hadi chuo kikuu hivi kwa uchumi gani wa tz.Ifike kipindi kwel kuwe na mdahalo wa wagombea urais ili sera zingine watueleweshe.Mfano rais kikwete alituhadi mambo mengi hayajatekelezeka bado anatuhaidi tena daa tanzania
Elimu kutolewa bure hadi chuo kikuu hivi kwa uchumi gani wa tz.Ifike kipindi kwel kuwe na mdahalo wa wagombea urais ili sera zingine watueleweshe.Mfano rais kikwete alituhadi mambo mengi hayajatekelezeka bado anatuhaidi tena daa tanzania
Elimu kutolewa bure hadi chuo kikuu hivi kwa uchumi gani wa tz.Ifike kipindi kwel kuwe na mdahalo wa wagombea urais ili sera zingine watueleweshe.Mfano rais kikwete alituhadi mambo mengi hayajatekelezeka bado anatuhaidi tena daa tanzania
Kigumu ni kipi? Kwani haijawahi tokea? Kwani unadhani wakati ule uchumi ulikuwa mzuri kuliko leo? Hivi una umri gani vile? unajua chanzo cha serikali kujitoa kugharimikia elimu? Muulize Kikwete, Lowasa, Pinda, Sitta, na msururu wote huo ukiondoa wakina Masha ambao walisomeshwa na baba yake huko US walilipa shilingi ngapi kusoma? Nakwambia hata nauli tu ya kwenda shule na kurudi toka nyumbani walilipiwa na serikali. Kipi kigumu?
Elimu kutolewa bure hadi chuo kikuu hivi kwa uchumi gani wa tz.Ifike kipindi kwel kuwe na mdahalo wa wagombea urais ili sera zingine watueleweshe.Mfano rais kikwete alituhadi mambo mengi hayajatekelezeka bado anatuhaidi tena daa tanzania