Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,482
- 40,496
Tumiliki vitu tunavyoweza kuvitumia
Kumiliki vitu vingi halafu huvitumii; huo ni mpango mbovu katika utumiaji wa akili.
Chochote unachomiliki, unatakiwa ukitumie, iwe; mashamba, majengo, vyombo vya moto n.k
Nakuvitumia huko, ni kuhakikisha, vyote vinatumika kwa kufanya kazi; chombo cha moto kiwe barabarani, majengo yawe yanakaliwa, mashamba yawe yanalimwa n.k
Utakuta mtu anamiliki ekari 500, 1000, 3000 n.k lakini analitelekeza na kuwa pori, kuwapatia wengine walitumie, hataki; Lakini atasimama mbele na kusema namiliki shamba, hii sio sahihi tutumie akili zetu vizuri
Mwingine anaweza kumiliki labda magari 10 n.k, lakini lililopo barabarani ni mawili tu, atasema akiyaruhusu yote yatembee yatakula mafuta; sasa kwa nini uliyanunua yote; tutumie akili zetu vizuri.
Mwingine anaweza kuwa na majengo mengi, lakini yanayotumika ni machache; lakini yeye anaona fahari kuwa na majengo mengi, hii sio sahihi, tutumie akili zetu vizuri.
Tutumie akili zetu vizuri
Kumiliki vitu vingi halafu huvitumii; huo ni mpango mbovu katika utumiaji wa akili.
Chochote unachomiliki, unatakiwa ukitumie, iwe; mashamba, majengo, vyombo vya moto n.k
Nakuvitumia huko, ni kuhakikisha, vyote vinatumika kwa kufanya kazi; chombo cha moto kiwe barabarani, majengo yawe yanakaliwa, mashamba yawe yanalimwa n.k
Utakuta mtu anamiliki ekari 500, 1000, 3000 n.k lakini analitelekeza na kuwa pori, kuwapatia wengine walitumie, hataki; Lakini atasimama mbele na kusema namiliki shamba, hii sio sahihi tutumie akili zetu vizuri
Mwingine anaweza kumiliki labda magari 10 n.k, lakini lililopo barabarani ni mawili tu, atasema akiyaruhusu yote yatembee yatakula mafuta; sasa kwa nini uliyanunua yote; tutumie akili zetu vizuri.
Mwingine anaweza kuwa na majengo mengi, lakini yanayotumika ni machache; lakini yeye anaona fahari kuwa na majengo mengi, hii sio sahihi, tutumie akili zetu vizuri.
Tutumie akili zetu vizuri