Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
"Siku ya Agosti 26, iliyopangwa kuanza hiyo inayoitwa sensa, Waislamu tumejipanga kufanya maandamano makubwa ya amani nchi nzima kupinga misingi dhuluma dhidi ya Waislamu…tutatoka nchi nzima ili ulimwengu washuhudie idadi ya Watanzania ambao hawakushiriki kuhesabiwa," alisema Ponda.
Alisema kumekuwepo na takwimu mbalimbali zinazokinzana kuhusu idadi ya Waislamu na Wakristo, huku akiishutumu serikali kwa kufumbia macho takwimu hizo zikiwemo zilizopo kwenye tovuti ya Kanisa Katoliki, Bodi ya Utalii na Idara ya Uhamiaji.
MY TAKE
Bodi ya utalii na Uhamiaji? hapa TAKWIMU zingalionesha waislam wapo wengi .JF pasingalika, Chadema, mapadri, maaskofu bungeni pasingalika
source: Nipashe
Alisema kumekuwepo na takwimu mbalimbali zinazokinzana kuhusu idadi ya Waislamu na Wakristo, huku akiishutumu serikali kwa kufumbia macho takwimu hizo zikiwemo zilizopo kwenye tovuti ya Kanisa Katoliki, Bodi ya Utalii na Idara ya Uhamiaji.
MY TAKE
Bodi ya utalii na Uhamiaji? hapa TAKWIMU zingalionesha waislam wapo wengi .JF pasingalika, Chadema, mapadri, maaskofu bungeni pasingalika
source: Nipashe