Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
HB ngoja nikushauri haya:
1. JF ni kipimo cha uvumilivu
2. Ukiandika au kutoa comment ANDIKA KWA KISWAHILI ENG HUJUI
3. Chukua muda kujifunza JF nini kinaendelea
4. Punguza sifa
5. Jifunze kuandika(mwandiko) maana hujui hata kama kuna nukta, koma, aya nk hueleweke na unachosha kusoma thread yako
6.......................
Mengine nitamalizia kesho ngoja nipumzike
1. JF ni kipimo cha uvumilivu
2. Ukiandika au kutoa comment ANDIKA KWA KISWAHILI ENG HUJUI
3. Chukua muda kujifunza JF nini kinaendelea
4. Punguza sifa
5. Jifunze kuandika(mwandiko) maana hujui hata kama kuna nukta, koma, aya nk hueleweke na unachosha kusoma thread yako
6.......................
Mengine nitamalizia kesho ngoja nipumzike