Hermanrocky24@gmail.com nitumie mchanganuo wa gharama za kusajili co,nipo dar.Asante
Kwa mfano ninataka kufungua kampuni moja ila iwe na biashara tofauti tofauti. mfano niwe na duka la nguo, pharmacy, milling company etc. lakini zote ziwe chini ya kampuni moja. natakiwa kusajili vipi huko brela?
Kuna mtu anataka kusajili shule,wasiliana nami kwenye maengo2001@yahoo.com nikute deal
Nahitj kusajili shule ya nursery na primary naomba nijuze utaratibu wako na gharama mkuu!kitambij@ymail.com.com
Hermanrocky24@gmail.com nitumie mchanganuo wa gharama za kusajili co,nipo dar.Asante
Nina business name nimesajili BRELA tayari! Nataka kusajili kampun.... Bei ya chin kabisa ni kiasi gani kwan nmeangalia brela nimeona cost zao... Ninyi mtanifanyia sh ngapi na ndani ya muda gan kazi itakuwa imeisha kabisa? Nipo mbeya! Email yangu nacttz@gmail.com! Asante!
Kwa mfano ninataka kufungua kampuni moja ila iwe na biashara tofauti tofauti. mfano niwe na duka la nguo, pharmacy, milling company etc. lakini zote ziwe chini ya kampuni moja. natakiwa kusajili vipi huko brela?
kusajili kampuni sh ngapi, ya mtaji wa mil 150,000,000