Usipate changamoto kusajili kampuni au jina la Biashara BRELA tena

daydreamerTZ

Senior Member
Sep 26, 2020
118
189
Nina imani nitakuwa mkombozii Kwako kwa sababu nina uzoefu wa masuala yote ya kusajili biashara (kama kampuni au jina la biashara) kuanzia usajili hadi namna gani utaikuza biashara yako.

Huduma zitolewazo;
1. Kusajili Kampuni
2. Kusajili jina la biashara
3. Kuandaa memorandum and article of association
4. Logos, business cards posters n.k
5. Makadirio ya Kodi
6. Kuandaa company profile n.k

Tembelea ofisi yetu ya biashara Day Dreamer Tz Consultancy - Google Search

Kwa mawasiliano zaidi Piga/WhatsApp 0629706263.
 
habari yako nimesoma thread yako mimi pia ni consultancy kwa muda zaidi ya muongo mmoja sasa ukihitaji saport ya kukimbiza kazi tafadhari usisite kuwasiliana nasi kwa namba hizi
 

Attachments

  • VID_88740918_232404_910.mp4
    1.8 MB
  • IMG-20191030-WA0029.jpg
    IMG-20191030-WA0029.jpg
    51.8 KB · Views: 37
habari yako nimesoma thread yako mimi pia ni consultancy kwa muda zaidi ya muongo mmoja sasa ukihitaji saport ya kukimbiza kazi tafadhari usisite kuwasiliana nasi kwa namba hizi
Wewe ni consultant au consultancy?
 
Wewe ni consultant au consultancy?
usipoteze maana typing error siyo jambo la kutaka kufanya maana kusudiwa iharibike hii ndiyo maana sababu ya wengi kama nyie mnakuwa mwishoni mwa mafanikio kwasababu mnaanza kuangalia kakosea wapi na siyo key success point badirika na wale wanaotumia r au ntu?
 
kama kuna mwenye kazi za brela,tic,osha,wcf au yoyote unayoiona ni kichomi na mteja ana presha ya juu we tuwasiliane lakini tunamkataba lazima tuingie mimi na wewe pia kama unajua una connection ya kazi hizi njoo na terms zako za kufanyia kazi.
 
Back
Top Bottom