hata mimi slowly naanza kuegemea Raia Mwema kuliko hii kitu ya huyu jamaa Kubenea. Ni kama naelekea shimoni vile, lakini pengine ni kwa sababu amepewa mshiko mrefu na mafisadi. Ila ni suala la muda tu atajua alikosea au la! Tusubiri tuone.
Still Mwanahalisi is my star!