Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
...unamtofautishaje unayemtetea hapo juu na Lowassa au Mafisadi kama unavyotaka kutuaminisha.
Acha mbwembwe zako wewe, Kama unayosema unayaamini, basi pia sioni tofauti yako kwa upande moja na ya Kubenea kwa upande mwingine ("Action and Reaction are equal but opposite in reaction ").
Kaka au whatever they call, tunatumia vichwa kufikiri na sio uti wa mgongo na/au masaburi. Hiyo kambi nyingine inayomwona Lowassa mwovu yenyewe ni safi kwa kiwango kipi ndani ya CCCCCM? au basi R1 na Lowassa tofauti yao ni ipi hasa......?
Sawa tuchukulie ww na wenzio nyuma ya pazia mmefanikiwa kutuaminisha ubaya wa Lowassa, sawa nani Mzuri? Migiro yule Rozi? (teh teh teh), Membe?, Mwinyi (Dk) ? Mwandosya? Mwakyembe? Sitta? Pinda? (eee, yeye atalia na wananchi watalia, sijui nani atambembeleza mwenzake)
Utenzi umechekesha sana huu; nasubiria beti la la pili!