Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!

Huu ndio wakati wa serikali kuamka na kufikiri kwa kina.
kila leo masikini Bashungwa yuko barabarani kukagua uozo uliofanywa na watanguizi wake.
Failure in design na viwango hafifu vya barabara zetu sasa zinatucost.
Rushwa imechangia kwa kiasi kikubwa.Pili upeo mdogo, wewe ni msimamizi unamsimamia mkandarasi,unamwita SIr hata akivurunda,hii inferiority complex inatugharimu.
Wataliani ni mafundi wazuri hasa wa madaraja wanaposimamiwa na mtu anayejitambua kama Mwingereza.Lakini Wataliano hao hao wakisimamiwa na akina Boramimi bin Mangungu ni shida,hakuna daraja au mtoto wa daraja.
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.

NB INAHITAJIKA TECHNICAL REVIEW/AUDIT
Sasa hivi kunahitajika kuwepo a Technical Review au Audit ya ujenzi wa barabara hii. Nina uhakika madudu mengi tu yatagundulika.
Ni shida
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.

NB INAHITAJIKA TECHNICAL REVIEW/AUDIT
Sasa hivi kunahitajika kuwepo a Technical Review au Audit ya ujenzi wa barabara hii. Nina uhakika madudu mengi tu yatagundulika.
Kawaida tu, expansion joint hizo 🤣
 
Rushwa imechangia kwa kiasi kikubwa.Pili upeo mdogo, wewe ni msimamizi unamsimamia mkandarasi,unamwita SIr hata akivurunda,hii inferiority complex inatugharimu.
Wataliani ni mafundi wazuri hasa wa madaraja wanaposimamiwa na mtu anayejitambua kama Mwingereza.Lakini Wataliano hao hao wakisimamiwa na akina Boramimi bin Mangungu ni shida,hakuna daraja au mtoto wa daraja.
Hili lina ukweli ndani yake.
Usimamizi wa wahandisi wetu nchini tunaufahamu.
Wengi wanakuwa compromised(kununuiwa) na vihela wanavyopewa na wachina.
Hili tuamini tusiamini lipo.
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.

NB INAHITAJIKA TECHNICAL REVIEW/AUDIT
Sasa hivi kunahitajika kuwepo a Technical Review au Audit ya ujenzi wa barabara hii. Nina uhakika madudu mengi tu yatagundulika.
Unaogopa hata kutaja ni waziri gani, tuajuwa vipi; kama waziri huyo huyo kasimamia ujenzi eneo jingine ambalo barabara ni imara tuendelee kusema ni waziri ndiye mhusika?

Nakubaliana na mawazo yako, lakini tabia ya unafiki kufichaficha mambo hata yasiyokuwa na lazima kufichwa haipendezi.
Huyo waziri alikuwa nani, Kawambwa, Magufuli, au rafiki yako sasa m-Pemba ambaye ulimwandikia mada nzima humu JF ukimlalamikia; lakini wakati huu unamwaga sifa kedekede!
 
Barabara sio kwamba iko chini ya kiwango ile barabara ilijengwa bila kuzingatia hali halisi ya ardhi ilivyo ,ardhi ile ukiangalia sehemu kubwa kuanzia Rufiji mpaka karibu na Kilwa sehemu kubwa iko kwenye mikondo ya mito,kwahiyo kiwango cha unyevunyevu ni kikubwa sana ,ndio maana ile barabara mara kwa mara ina mashimo kila wakati kwa ajili ya kutitia...
Huko kuto zingatia hali halisi ya ardhi ndo chini ya kiwango kwenyewe
 
Barabara sio kwamba iko chini ya kiwango ile barabara ilijengwa bila kuzingatia hali halisi ya ardhi ilivyo ,ardhi ile ukiangalia sehemu kubwa kuanzia Rufiji mpaka karibu na Kilwa sehemu kubwa iko kwenye mikondo ya mito,kwahiyo kiwango cha unyevunyevu ni kikubwa sana ,ndio maana ile barabara mara kwa mara ina mashimo kila wakati kwa ajili ya kutitia...
Uko sahihi kabisa
 
Unaogopa hata kutaja ni waziri gani, tuajuwa vipi; kama waziri huyo huyo kasimamia ujenzi eneo jingine ambalo barabara ni imara tuendelee kusema ni waziri ndiye mhusika?

Nakubaliana na mawazo yako, lakini tabia ya unafiki kufichaficha mambo hata yasiyokuwa na lazima kufichwa haipendezi.
Huyo waziri alikuwa nani, Kawambwa, Magufuli, au rafiki yako sasa m-Pemba ambaye ulimwandikia mada nzima humu JF ukimlalamikia; lakini wakati huu unamwaga sifa kedekede!
Wewe huwa una matatizo ya akili yanayo jirudia kila mwezi mchanga.
Ukiwa bado kijana mdogo na usipofanya research yako basi ,rudi chekechea unako stahili.
 
U
nchi kubwa ndio zikoje mkuu zina mabawa au?
ivi kweli hata wewe huwezi kufikiria au akili zako kama za niki wa pili aliesema baada ya Mungu ni mzungu halafu yeye niki wa pili, lowest bidder kutokea milima ya uchina anawezaje kujenga barabara ya kuweza kupambana na nguvu ya maji.
Unashauri kazi wapewe watu kutoka nchi gani ili tutunge sheria wachina wasiombe kazi ? Unaujuzi na sheria za manunuzi au unafikiri kazi zinagawiwa bila kushindanishwa kwa ushindani wa wazi
 
Wewe huwa una matatizo ya akili yanayo jirudia kila mwezi mchanga.
Ukiwa bado kijana mdogo na usipofanya research yako basi ,rudi chekechea unako stahili.
Leo unajipa utaalam wa kujuwa afya za watu humu JF. Mbona huishi kushangaza!
Tatizo lako ni lilelile la siku zote. Unao unafiki mkubwa sana. Leo ukikutana na huyu unasema hili, kesho akiwa hayupo huyo wa mwanzo, unaanza kumsema aliyepita. Hili ni tatizo kubwa kuliko hata hilo la uliyemwelezea wewe hapo.
 
View attachment 2983070
View attachment 2983106

Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale.
Barabara hii imejengwa chini ya viwango.
Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili.

Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo ilistahili kuhimili.
Kiwango cha ujenzi wa barabara hii huwezi kabisa kulinganisha na kiwango cha kwa mfano Iringa akambako.
Wakandarasi ni wale wale -wachina.

Serikali ijionee sasa na msimamo wake usioendelevu- ati anapewa kazi-LOWEST BIDDER!
Ujinga huu sasa unasababisha usumbufu kwa maelfu ya wananchi, ukiacha ajali zinazosababisha vifo kutokana na barabara kutokidhi viwango.

Tunavuna tulichopanda kwa misifa isiyostahili.

NB INAHITAJIKA TECHNICAL REVIEW/AUDIT
Sasa hivi kunahitajika kuwepo a Technical Review au Audit ya ujenzi wa barabara hii. Nina uhakika madudu mengi tu yatagundulika.
HAWA RWANDA WASHANYONGWA KAKA ACHA TU
 
Kwa ambao hawajawahi kupita hii njia wanaweza kuona utani...il ukweli hii njia kuanzia Mbagala rang 3 pale kokoto mpaka Mtwara hakuna kitu pia kutoka mnazi mmoja mpaka masasi takataka kabisa. Kuanzia masasi kuelekea Songea ndo wamejitahidi.

Zamani kidogo Muhoro-Somanga ndo palikua na mkeka angalau na ni kwasababu ulikua mpya ila baada ya muda viraka vikaanza.

Njia ya Kusini ngumu kukaa na kusoma uzi ukiwa ndani ya gari maana haijatulia hata kidogo,,wenzao wa Iringa atleast wana mkeka safi kuanzia pale Ruaha mpaka makambako.
Halafu hapo mnazi mmoja hadi Masasi ni pa zamani mno na ubovu wake
Sasa kama hadi Muhoro -Somanga pameharibika ,si upuuzi maana pamejengwa juzi tu
 
Nilikua Mtwara tarehe 22 mwezi wa nne 2024 inasikitisha Sana Sana, wengi wanaongea kwa kuangalia picha, mimi nimefika huko, kile kipande cha kuanzia daraja la mkapa Hadi Somanga mbele mbele kule Hadi Nangurukuru ni Aibu Sana. Ndio maana Ajali haziishi
Inasikitisha sana namna tunavyoshindwa kusimamia miradi muhimu ya miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe
 
Kwenye hii Barabara kipande Cha kuanzia ikwiriri Hadi somanga ndo kipande korofi mno , sasa kuna mambo mengi
1. Hiki kipande kina mito mingi mno maana ndo sehemu matawi ya mto rufiji yanaenda baharini hivyo maji yakua yameathiri sana
2 baada ya kujengwa hiki kipande lami yake ilikua na muonekano mweupe hivi , nadhani kokoto zilizotumika sio za lugoba, huenda zimetumika zile ya ubuyo ambayo ambazo water absorption zake hua ni kubwa kwa sababu ni porous kwa hiyo asphalt mix design huenda haikua efficient
3 Hii Barabara imekamilika miaka zaidi ya 15 iliyopita, huenda lifespan yake imeshaisha ukizingatia Barabara zetu nyingi design lifespan ni miaka 10 tu
4 Usanifu wa hii Barabara haukuconsider sudden load ya dangote factory, malori ya cement nayo yamechangia uchakavu wa hii Barabara to some extent, coz imagine dangone ana fleet kama 600 hivi , jumlisha na watu watu wengine hii Barabara lazima iharibike tu hasa kama Usanifu haukuzingatia huo mzigo ambao kimsingi haukuwepo kabisaaa

Ifanyike impact analysis kwa hiki kipande Cha km 60, kijengwe upya kwa kuzingatia new design assumptions
Let's be constructive na tuiache kunyooshana vidole hasa kwa hizi mvua A mwaka huu ambazo zipo juu ya kiwango Cha kawaida.
 
Leo unajipa utaalam wa kujuwa afya za watu humu JF. Mbona huishi kushangaza!
Tatizo lako ni lilelile la siku zote. Unao unafiki mkubwa sana. Leo ukikutana na huyu unasema hili, kesho akiwa hayupo huyo wa mwanzo, unaanza kumsema aliyepita. Hili ni tatizo kubwa kuliko hata hilo la uliyemwelezea wewe hapo.
Mkuu mada ikiwa juu ya uwezo wako kudadavua, we sepa tu uelekeo wa chit-chat!
 
Mkuu mada ikiwa juu ya uwezo wako kudadavua, we sepa tu uelekeo wa chit-chat!
Hakuna lolote la mada kuwa juu. Sijaanza kukusoma leo, na wala hakuna jipya katika uliyo andika katika mada hiyo unaloweza kudai lipo juu ya uwezo wa wengine kulitambua.
Nimekupa ushauri, bila shaka umekuingia akilini vya kutosha.
 
Hakuna lolote la mada kuwa juu. Sijaanza kukusoma leo, na wala hakuna jipya katika uliyo andika katika mada hiyo unaloweza kudai lipo juu ya uwezo wa wengine kulitambua.
Nimekupa ushauri, bila shaka umekuingia akilini vya kutosha.
Mkuu usilazimishe kulumbana na akili kubwa.
Kubali tu ukomo wako wa kufikiri.
 
Sasa Mbona wanasema baada ya Masaa 72 pawe pametengenezwa? Tunaziba maji ya Mto kwa Mawe? Halafu mto unarudi ulipotoka?
 
Kwenye hii Barabara kipande Cha kuanzia ikwiriri Hadi somanga ndo kipande korofi mno , sasa kuna mambo mengi
1. Hiki kipande kina mito mingi mno maana ndo sehemu matawi ya mto rufiji yanaenda baharini hivyo maji yakua yameathiri sana
2 baada ya kujengwa hiki kipande lami yake ilikua na muonekano mweupe hivi , nadhani kokoto zilizotumika sio za lugoba, huenda zimetumika zile ya ubuyo ambayo ambazo water absorption zake hua ni kubwa kwa sababu ni porous kwa hiyo asphalt mix design huenda haikua efficient
3 Hii Barabara imekamilika miaka zaidi ya 15 iliyopita, huenda lifespan yake imeshaisha ukizingatia Barabara zetu nyingi design lifespan ni miaka 10 tu
4 Usanifu wa hii Barabara haukuconsider sudden load ya dangote factory, malori ya cement nayo yamechangia uchakavu wa hii Barabara to some extent, coz imagine dangone ana fleet kama 600 hivi , jumlisha na watu watu wengine hii Barabara lazima iharibike tu hasa kama Usanifu haukuzingatia huo mzigo ambao kimsingi haukuwepo kabisaaa

Ifanyike impact analysis kwa hiki kipande Cha km 60, kijengwe upya kwa kuzingatia new design assumptions
Let's be constructive na tuiache kunyooshana vidole hasa kwa hizi mvua A mwaka huu ambazo zipo juu ya kiwango Cha kawaida.
Respect mkuu kwa kujadili mambo ya kimsingi kabisa kihandisi.
Hii barabara yoote DSM TO MTWARA, hasa Ikwiriri -Somanga, iko katika failure mode.

Serikali kupitia wizara husika itake note hydrological facts kutokana na mvua za mwaka huu.
 
Back
Top Bottom