sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,154
- 4,271
Rushwa imechangia kwa kiasi kikubwa.Pili upeo mdogo, wewe ni msimamizi unamsimamia mkandarasi,unamwita SIr hata akivurunda,hii inferiority complex inatugharimu.Huu ndio wakati wa serikali kuamka na kufikiri kwa kina.
kila leo masikini Bashungwa yuko barabarani kukagua uozo uliofanywa na watanguizi wake.
Failure in design na viwango hafifu vya barabara zetu sasa zinatucost.
Wataliani ni mafundi wazuri hasa wa madaraja wanaposimamiwa na mtu anayejitambua kama Mwingereza.Lakini Wataliano hao hao wakisimamiwa na akina Boramimi bin Mangungu ni shida,hakuna daraja au mtoto wa daraja.