Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,874
- 35,343
Inasikitisha sana namna tunavyoshindwa kusimamia miradi muhimu ya miundombinu kwa manufaa yetu wenyeweNilikua Mtwara tarehe 22 mwezi wa nne 2024 inasikitisha Sana Sana, wengi wanaongea kwa kuangalia picha, mimi nimefika huko, kile kipande cha kuanzia daraja la mkapa Hadi Somanga mbele mbele kule Hadi Nangurukuru ni Aibu Sana. Ndio maana Ajali haziishi