Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Ninaimani wanaJF tumetapakaa nchi nzima, naomba kila GT atujuze hali ya mgomo wa walimu ilivyo katika wilaya yake. Mimi niko Wilaya/Manispaa ya Ilala, jana nilizungimza na mratibu mmoja wa elimu akasema Ilala hakuna mgomo na kazi inaendelea kama kawaida. Lakini jioni mtoto wangu wa darasa la tatu nilipomuuliza alisema walimu walikuwa na mgomo shuleni kwao, alinipa vielelezo viwili: 1. Mwalimu wa kiingereza ambaye mara nyingi jumatatu hukagua kama wamefanya h/w aliyowapa last week hakufanya kama alivyozoea.
2. Mda mwingi walimu walikuwa wamejifungia kwenye ofisi ya walimu, anadhani walikuwa na mgomo.
Hebu tupeana taarifa kamili za kila kona ili tuweze kutathmin kwa manufaa ya jamii. Karibuni.
2. Mda mwingi walimu walikuwa wamejifungia kwenye ofisi ya walimu, anadhani walikuwa na mgomo.
Hebu tupeana taarifa kamili za kila kona ili tuweze kutathmin kwa manufaa ya jamii. Karibuni.