Tupeane stori tuliovumiliwa na wapenzi wakati tuko chini sana.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,341
4,080
Mzee wangu ni moja ya wale wazee ambao ni "typical mkurya"

So katika jamii yetu huku wengi unakuta kijana anaolea nyumbani then baadae ndio anatoka kwenda kujitegemea.

So, kipindi hicho mimi najiandaa kutoka nyumbani kutafuta maisha, Mzee ananiambia hakuna kuondoka hapa nyumbani bila ya kuoa kwanza. Na alipoona nazidi kujitetea tetea akasema bila hivyo sitoi mahali.

Ilibidi nifuate matakwa yake kwa maana pia sikutaka anung'unike kama ningekaidi. So mwana nikaanza kutafuta binti wa kuoa. Aisee haikuwa kazi rahisi na hata nilukuwa najiuliza binti gani atakubali kuja kuishi na mimi nyumbani.

Nakumbuka binti mmoja tulifahamiana, nikamuapproch na hata kumpa malengo yangu, dah binti alikuwa akinidharau kutokana na situation niliokuwa nayo. Kuna wakati aliniambia mimi sitaki kulishwa na mama mkwe. Binti hakunichukuliwa kama kijana serious na iliniumiza sana.

Luckily, baada ya kusota na maombi mengi, baada ya muda nilikuja kumpata mtoto fulani mrembo na nikamuapproch na sikuficha chochote kuhusu mimi na nikamshirikisha malengo yangu. Mdogo mdogo binti alinikubali, nikatoa mahali na kumuuoa. Na nilikuta mtoto bado yuko sealed, hahaha,. Tulishi home wakati napambana na maisha hadi pale tulipokuja kuhama baada ya kupata mtoto mmoja.

Maisha ya pale nyumbani aliya adapt, mama na baba aliwatii na kuheshimiana na mashemeji na mawifi zake.

Leo namshukuru Mungu mambo ni murua, ndoto zimetimia na binti tuko nae tunaendelea kulisongesha life.

So i will forever cherish her for that.

Tusikie stori yako>>>>
 
Mzee wangu ni moja ya wale wazee ambao ni "typical mkurya"

So katika jamii yetu huku wengi unakuta kijana anaolea nyumbani then baadae ndio anatoka kwenda kujitegemea.

So, kipindi hicho mimi najiandaa kutoka nyumbani kutafuta maisha, Mzee ananiambia hakuna kuondoka hapa nyumbani bila ya kuoa kwanza. Na alipoona nazidi kujitetea tetea akasema bila hivyo sitoi mahali.

Ilibidi nifuate matakwa yake kwa maana pia sikutaka anung'unike kama ningekaidi. So mwana nikaanza kutafuta binti wa kuoa. Aisee haikuwa kazi rahisi na hata nilukuwa najiuliza binti gani atakubali kuja kuishi na mimi nyumbani.

Nakumbuka binti mmoja tulifahamiana, nikamuapproch na hata kumpa malengo yangu, dah binti alikuwa akinidharau kutokana na situation niliokuwa nayo. Kuna wakati aliniambia mimi sitaki kulishwa na mama mkwe. Binti hakunichukuliwa kama kijana serious na iliniumiza sana.

Luckily, baada ya kusota na maombi mengi, baada ya muda nilikuja kumpata mtoto fulani mrembo na nikamuapproch na sikuficha chochote kuhusu mimi na nikamshirikisha malengo yangu. Mdogo mdogo binti alinikubali, nikatoa mahali na kumuuoa. Na nilikuta mtoto bado yuko sealed, hahaha,. Tulishi home wakati napambana na maisha hadi pale tulipokuja kuhama baada ya kupata mtoto mmoja.

Maisha ya pale nyumbani aliya adapt, mama na baba aliwatii na kuheshimiana na mashemeji na mawifi zake.

Leo namshukuru Mungu mambo ni murua, ndoto zimetimia na binti tuko nae tunaendelea kulisongesha life.

So i will forever cherish her for that.

Tusikie stori yako>>>>

nice
 
Naomba storry ya upande wa pili Hali yake au yupoje kwa sasa aliye kukataa.

Mara nyingi utajiri wao ni maneno ya shombo ,wanakulaga shombo lao.
Hahahhah

Kweli kabisa yule binti alienidharau mara ya mwisho ilikuja kujulikana anatembea na mme wa shangazi yake hahahah imagine.
 
Mzee wangu ni moja ya wale wazee ambao ni "typical mkurya"

So katika jamii yetu huku wengi unakuta kijana anaolea nyumbani then baadae ndio anatoka kwenda kujitegemea.

So, kipindi hicho mimi najiandaa kutoka nyumbani kutafuta maisha, Mzee ananiambia hakuna kuondoka hapa nyumbani bila ya kuoa kwanza. Na alipoona nazidi kujitetea tetea akasema bila hivyo sitoi mahali.

Ilibidi nifuate matakwa yake kwa maana pia sikutaka anung'unike kama ningekaidi. So mwana nikaanza kutafuta binti wa kuoa. Aisee haikuwa kazi rahisi na hata nilukuwa najiuliza binti gani atakubali kuja kuishi na mimi nyumbani.

Nakumbuka binti mmoja tulifahamiana, nikamuapproch na hata kumpa malengo yangu, dah binti alikuwa akinidharau kutokana na situation niliokuwa nayo. Kuna wakati aliniambia mimi sitaki kulishwa na mama mkwe. Binti hakunichukuliwa kama kijana serious na iliniumiza sana.

Luckily, baada ya kusota na maombi mengi, baada ya muda nilikuja kumpata mtoto fulani mrembo na nikamuapproch na sikuficha chochote kuhusu mimi na nikamshirikisha malengo yangu. Mdogo mdogo binti alinikubali, nikatoa mahali na kumuuoa. Na nilikuta mtoto bado yuko sealed, hahaha,. Tulishi home wakati napambana na maisha hadi pale tulipokuja kuhama baada ya kupata mtoto mmoja.

Maisha ya pale nyumbani aliya adapt, mama na baba aliwatii na kuheshimiana na mashemeji na mawifi zake.

Leo namshukuru Mungu mambo ni murua, ndoto zimetimia na binti tuko nae tunaendelea kulisongesha life.

So i will forever cherish her for that.

Tusikie stori yako>>>>
Hongera mkuu kwa kumueshimu mkeo,wengine Huwa hawajali.Wakishafanikiwa tu wanasahau walipotoka
 
Mimi nlikutana na mtoto wa mashavuni mashavuni kweli lakini mrembooo..
Kidume nkatia voco, mdogo mdogo ikatiki.
Nkapata transfer to Dom, na hapo hela enyewe ya magumashi.
Aisee ilifika kipindi tunashindia dagaa hata wiki.
Nnachoshukuru, pamoja na yote wala hakulalamika, yeye n mwendo wa kugeuza. Leo anakaamga, kesho anaunga na nyanya, keshokutwa karoti n.k.
Akitumiwa hela ya shule na baba yake, ananibalansia kidogo nsishindwe hata kupata nauli.
Sitasahai kipindi hiko, hakukua na dharau wala masimango. Upendo mwingi, na nyenye ya kutosha (starehe ya maskini ni mkewe😁).
Mungu ni mwema leo tupo si haba, mapendo kama kawa. Hawa wengine hata nkiomba namba najiskia vbaya naacha. Nkipigaga kishindo tu cha kwanza mamtoa put kubadilisha mazingira maana sijadahau wema wake.
 
Mimi nlikutana na mtoto wa mashavuni mashavuni kweli lakini mrembooo..
Kidume nkatia voco, mdogo mdogo ikatiki.
Nkapata transfer to Dom, na hapo hela enyewe ya magumashi.
Aisee ilifika kipindi tunashindia dagaa hata wiki.
Nnachoshukuru, pamoja na yote wala hakulalamika, yeye n mwendo wa kugeuza. Leo anakaamga, kesho anaunga na nyanya, keshokutwa karoti n.k.
Akitumiwa hela ya shule na baba yake, ananibalansia kidogo nsishindwe hata kupata nauli.
Sitasahai kipindi hiko, hakukua na dharau wala masimango. Upendo mwingi, na nyenye ya kutosha (starehe ya maskini ni mkewe).
Mungu ni mwema leo tupo si haba, mapendo kama kawa. Hawa wengine hata nkiomba namba najiskia vbaya naacha. Nkipigaga kishindo tu cha kwanza mamtoa put kubadilisha mazingira maana sijadahau wema wake.
Hongera,endelea kumpenda na kumtii sana mkeo
 
Mimi nlikutana na mtoto wa mashavuni mashavuni kweli lakini mrembooo..
Kidume nkatia voco, mdogo mdogo ikatiki.
Nkapata transfer to Dom, na hapo hela enyewe ya magumashi.
Aisee ilifika kipindi tunashindia dagaa hata wiki.
Nnachoshukuru, pamoja na yote wala hakulalamika, yeye n mwendo wa kugeuza. Leo anakaamga, kesho anaunga na nyanya, keshokutwa karoti n.k.
Akitumiwa hela ya shule na baba yake, ananibalansia kidogo nsishindwe hata kupata nauli.
Sitasahai kipindi hiko, hakukua na dharau wala masimango. Upendo mwingi, na nyenye ya kutosha (starehe ya maskini ni mkewe).
Mungu ni mwema leo tupo si haba, mapendo kama kawa. Hawa wengine hata nkiomba namba najiskia vbaya naacha. Nkipigaga kishindo tu cha kwanza mamtoa put kubadilisha mazingira maana sijadahau wema wake.
Hongera mkuu Mungu awazidishie
 
Mimi nlikutana na mtoto wa mashavuni mashavuni kweli lakini mrembooo..
Kidume nkatia voco, mdogo mdogo ikatiki.
Nkapata transfer to Dom, na hapo hela enyewe ya magumashi.
Aisee ilifika kipindi tunashindia dagaa hata wiki.
Nnachoshukuru, pamoja na yote wala hakulalamika, yeye n mwendo wa kugeuza. Leo anakaamga, kesho anaunga na nyanya, keshokutwa karoti n.k.
Akitumiwa hela ya shule na baba yake, ananibalansia kidogo nsishindwe hata kupata nauli.
Sitasahai kipindi hiko, hakukua na dharau wala masimango. Upendo mwingi, na nyenye ya kutosha (starehe ya maskini ni mkewe).
Mungu ni mwema leo tupo si haba, mapendo kama kawa. Hawa wengine hata nkiomba namba najiskia vbaya naacha. Nkipigaga kishindo tu cha kwanza mamtoa put kubadilisha mazingira maana sijadahau wema wake.
Ahhahahahhahah

"STAREHE YA MASIKINI NI MKEWE"

AHHASHHAHAH daaaah
 
Back
Top Bottom